Waungwana naomba mnisaidie niweze kutumia huduma tajwa hapo juu.
Nina mail address ya yahoo (like most of the africans!!) na nimejaribu kufuatilia maelakezo yao bila mafanikio.
Natanguliza shukrani wakubwa.
Huwezi kutumia outlook kwa ac ya bure YA yahoo.
Instead search for this software which works like outlook.It also work for yahoo
pop pepper