Hayo mafaili hayafunguki (huenda cmptr yangu ina virusi).
Iweke nzimanzima jomba tufaidi wote bana!
Yanafunguka kiongozi, tatizo litakua kwenye hiyo mashine!
This is bongo bana the gvt inakunguta 539 shilingi kwa kila lita ya mafuta tunategemea yashuke bei ? ukiweka za EWURA na wenzake ni jumla ya 602.
Mbowe na zito alisema bungeni kuwa tozo ndogondogo hata zikitolewa bei ya mafuta haiwezi shuka na akashauri serikali ipunguze kodi kutoka sh 539 hadi sh 250 then mafuta yatapungua kwa sh300 then hii itafanya petrol iuzwe kati ya sh 1700 hadi 1750,hii ingekuwa nafuu jamani lakini serikali imekataa.