JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 499
Habarini za leo!! Leo katika uchambuzi wa magazeti nimesikia kuwa huko Morogoro msaidizi wa kazi za nyumbani (famously known as housegirls) kamnyonga mtoto wa miaka wa miaka 2 na yeye kaishia kujinyonga pia. Sababu haijajulikana na uchunguzi unaendelea.
Hii si mara ya kwanza kwa hawa wadada kufanya vitendo vya aina hii. Kuna mwingine hapo nyuma alikuwa na virusi vya ukimwi. mama wa mtoto akitoka asubuhi kwenda kazini yule dada huku nyuma anamnyonyesha mtoto mwishowe mtoto akaathirika.
Zamani pia miaka ya 90 nilisikia kuwa kulikuwa na mtindo wa watoto wadogo kuwekwa kwenye fridge/freezer wengine kwenye ovens ikiwa ni njia ya kulipiza kisasi kwa waajiri wao kutokana na sababu mbalimbali.
Hii kwa kweli inatisha na inasikitisha. wakati mwingine unakuta dada anaishi vizuri na waajiri wake lakini baadae mambo yanaharibika kwa upande wa dada na wanaokuwa victims ni watoto ambao wanashinda nao nyumbani.
Nini kifanyike kuzuia mambo kama haya yasiendelee?? ina maana mioyo ya hao wadada wanaofanya hivyo ni mikatili kiasi hicho au???
Sijawahi kusikia cases za wakaka (houseboys) na ningependa kufahamishwa kama ziko.
Hii si mara ya kwanza kwa hawa wadada kufanya vitendo vya aina hii. Kuna mwingine hapo nyuma alikuwa na virusi vya ukimwi. mama wa mtoto akitoka asubuhi kwenda kazini yule dada huku nyuma anamnyonyesha mtoto mwishowe mtoto akaathirika.
Zamani pia miaka ya 90 nilisikia kuwa kulikuwa na mtindo wa watoto wadogo kuwekwa kwenye fridge/freezer wengine kwenye ovens ikiwa ni njia ya kulipiza kisasi kwa waajiri wao kutokana na sababu mbalimbali.
Hii kwa kweli inatisha na inasikitisha. wakati mwingine unakuta dada anaishi vizuri na waajiri wake lakini baadae mambo yanaharibika kwa upande wa dada na wanaokuwa victims ni watoto ambao wanashinda nao nyumbani.
Nini kifanyike kuzuia mambo kama haya yasiendelee?? ina maana mioyo ya hao wadada wanaofanya hivyo ni mikatili kiasi hicho au???
Sijawahi kusikia cases za wakaka (houseboys) na ningependa kufahamishwa kama ziko.