ngonzi zomukama mm naona,Yaani siku zote ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni jumapili nilikuwa naenda kanisani ghafla nikakumbuka nimesahau Tenzi na biblia nikajishauri bora nirudi hata nikichelewa nitaingia ibada ya pili wakati narudi haraka ili niwahi karibu kabisa na nyumbani nikamuona house boy wetu anaingia nyumba ya jirani nikajiuliza kulikoni hasa kwa style aliyokuwa anaingilia ya kunyata na kuangalia huku na kule nikadhani labda anaenda kuiba nikasema kimoymoyo "leo ndo mwisho wake" nikasimama nikajibanza sehemu ili asinione akaingia nyumba ya jirani na mimi nikawa namfuata taratibuuu nilipofika getini nikasikia maongezi yakunong'ona nikasimama ili nichungulie Mungu wangu kumbe mama mwenye nyumba ile na house boy wetu, sasa yule house boy ana mwambia hapa hapa yule mama anamwambia twende ndani mara akampandisha nguo Duh! 1.me nikabaki nimetoa macho yule mama anafurahia he! nikaondoka haraka kwa ibu na woga sasa najiuliza je huyo baba wa jirani akija kujua atatuelewa? si ndo tutaanza uhasama wa ujirani? 2.mbaya zaidi huyu House boy tuna undugu fulani je nikae kimya je ikitokea siku akamleta kwangu waka kutwa? hii imekaaje wana JF?
1.Hiyo red #1, nadhani na wewe ulipata utamu i.e ulifurahia au?maana kwa kiswahili wanaita chabo, kuna sehemu unalipa kutoa macho wenzako wakifurahia-au kwako ilikuwa tofauti?
2.Ushauri wangu kwenye hiyo red #2, UWE UNAMRUHUSU HUYO HB AWE ANATEMBEA TEMBEA ANGALAU MARA 1 KWA WEEK, UNA BAHATI KAKUONEA HURUMA KAENDA KUTAFUNA NYAMA ZA NJE"SIMBA AKIZIDIWA HULA MAJANI,USIJE UKAGEUKA WEWE au wanafamilia KUWA MAJANI-Ushauri wa bure.