Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Wakuu naomba kuelimishwa juu ya hotuba za Obama, je huwa anasoma sehemu au anakuwa na hints kaandika sehemu (kama Mwl. Nyerere) kisha anazipa nyama on stage au anapanda kavu kavu na kumwaga mambo bila kurefer sehemu yoyote??
Jana jioni ulizuka mjadala mkubwa sana pale mlimani, huku wengi wakisema huwa hasomi wala hana talking point zozote mkononi wala juu ya meza!!
Na kama hasomi sehemu yoyote, Americans hawaoni kama ni risk sana kwa Rais wao kutosoma sehemu kwa sababu ya madhala yanayoweza kutokea katika speech zake especially most critical speeches like the one he dilivered yesterday?
Can our president do the same in his speeches?
Naona kama ina mvuto sana kuhutubia bila kusoma wakuu!
Jana jioni ulizuka mjadala mkubwa sana pale mlimani, huku wengi wakisema huwa hasomi wala hana talking point zozote mkononi wala juu ya meza!!
Na kama hasomi sehemu yoyote, Americans hawaoni kama ni risk sana kwa Rais wao kutosoma sehemu kwa sababu ya madhala yanayoweza kutokea katika speech zake especially most critical speeches like the one he dilivered yesterday?
Can our president do the same in his speeches?
Naona kama ina mvuto sana kuhutubia bila kusoma wakuu!