Hotuba za baba wa Taifa zitumike mashuleni

Hapa hatuzungumzii kuwafundisha wanafunzi wasifu wa Nyerere kama kwenye zile propaganda za kumtukuza kwenye 'Tujifunze Lugha Yetu'. Tunazungumzia mawazo ya Nyerere - wanafunzi wanatakiwa kuyajadili, kuyahoji na kuyatumia kujenga hoja zao wenyewe. Hebu angalia vichwa hivi vya mada katika kitabu chake cha 'Africa Today and Tomorrow' alafu uniambia kuna tatizo gani wanafunzi wakizisoma na kuzijadili mashuleni:

Africa's Place in the World

Peace, Unity and People-Centred Development in Africa

Africa Approaches the Twenty First Century

African Unity and Independence


A New Africa

Education and Development in Africa

Africa Today and Tomorrow

Collective Self-Reliance: Africa's Only Future Hope

Peace, Unity and Justice

Education for Service and Not for Selfishness

The Debts of Highly Indebted Poor Countries Should be Cancelled

Money and Politics

Nyerere alikuwa na mawazo gani original? Huko kuforce watu kwenye vijiji alikokopi kwa Mao? Kutaifisha mali za umma alikokopa kutoka Labor Party ya UK? Hizo siasa ni kilimo na propaganda za upuuzi mwingine mbona Mao alishazisema miaka ya 50s katika "The Great Leap Forward" na "The Cultural Revolution"?

Mpaka misemo yake "kidumu CCM, Zidumu fikra za mwenyekiti" amekopi China.Mpaka speeches zake unazosema tufundishe mashuleni zimejaa plagiarism, maana anasema maneno ya watu bila kutoa accreditation, mpaka ile hotuba ya kwenda kumvamia Iddi Amin aliyoitoa pale Diamond Jubilee Hall na kusema "Nia tunayo, nguvu tunazo etc" ali plagiarize wimbo wa a British band iliyo rally behind Winston Churchill wakati wa WW2.

Sasa huyu plagiarist ndiye unayesema tufundishe hotuba zake mashuleni? Si bora tuseme tuchukue kitabu chekundu cha Mao na kitabu cha falsafa za Juche tu tujue moja?
 
Mwalimu tunaye tu. Hotuba zipelekwe darasani au la tunaye tu. Na hata hii thread na nyingine nyingi tu humu ni uthibitisho kwamba tunaye tu.

Naam umenena, hakika huu mzimu wake hatuuwezi kuukimbia hadi tutakapoacha ufisadi na ulimbukeni wa kuiga kunya kwa tembo:

 
Nyerere alikuwa na mawazo gani original? Huko kuforce watu kwenye vijiji alikokopi kwa Mao? Kutaifisha mali za umma alikokopa kutoka Labor Party ya UK? Hizo siasa ni kilimo na propaganda za upuuzi mwingine mbona Mao alishazisema miaka ya 50s katika "The Great Leap Forward" na "The Cultural Revolution"?

Mpaka misemo yake "kidumu CCM, Zidumu fikra za mwenyekiti" amekopi China.Mpaka speeches zake unazosema tufundishe mashuleni zimejaa plagiarism, maana anasema maneno ya watu bila kutoa accreditation, mpaka ile hotuba ya kwenda kumvamia Iddi Amin aliyoitoa pale Diamond Jubilee Hall na kusema "Nia tunayo, nguvu tunazo etc" ali plagiarize wimbo wa a British band iliyo rally behind Winston Churchill wakati wa WW2.

Sasa huyu plagiarist ndiye unayesema tufundishe hotuba zake mashuleni? Si bora tuseme tuchukue kitabu chekundu cha Mao na kitabu cha falsafa za Juche tu tujue moja?

Umesoma 'from cover to cover' trilogy yake yote ya (1) Freedom and Unity, (2) Freedom and Socialism and (3) Freedom and Development?
 
Umesoma 'from cover to cover' trilogy yake yote ya (1) Freedom and Unity, (2) Freedom and Socialism and (3) Freedom and Development?

Plagiarism na overtheorization zimenibore tu, mimi nasoma alivyosoma yeye kabla ya kuplagiarize.

Nyerere angezaliwa uzao wetu wala asingekuwa remarkable hivyo.

Yeye mwenyewe alishawahi ku plagiarize na kusema bila kutoa accreditation kwamba "kuna vitabu vya kusoma, vingine vya ku skip, vingine vya ku skim, vingine vya kusoma na kurudia" vyake ni vya ku-skim, yeah, nimeskim na nimemfahamu kwamba he is a sly totalitarian asiyependa kushindwa, thats not exactly a role model I would spend my scarce reading time studying.
 
Nyerere alikuwa na mawazo gani original? Huko kuforce watu kwenye vijiji alikokopi kwa Mao? Kutaifisha mali za umma alikokopa kutoka Labor Party ya UK? Hizo siasa ni kilimo na propaganda za upuuzi mwingine mbona Mao alishazisema miaka ya 50s katika "The Great Leap Forward" na "The Cultural Revolution"?

Mpaka misemo yake "kidumu CCM, Zidumu fikra za mwenyekiti" amekopi China.Mpaka speeches zake unazosema tufundishe mashuleni zimejaa plagiarism, maana anasema maneno ya watu bila kutoa accreditation, mpaka ile hotuba ya kwenda kumvamia Iddi Amin aliyoitoa pale Diamond Jubilee Hall na kusema "Nia tunayo, nguvu tunazo etc" ali plagiarize wimbo wa a British band iliyo rally behind Winston Churchill wakati wa WW2.

Sasa huyu plagiarist ndiye unayesema tufundishe hotuba zake mashuleni? Si bora tuseme tuchukue kitabu chekundu cha Mao na kitabu cha falsafa za Juche tu tujue moja?

What is orginality? What about adaptability? Hebu msikilize mzee wa originality and adaptability alichosema mwaka 1984 kuhusu madai yako:

JULIUS NYERERE: My political education was of the Western liberal type up to the time of independence and so I believed in the multi-party model. But in the struggle for independence, we organized our independence party extremely well. We then found ourselves in the ridiculous position of behaving as if we had a multi-party system with only one party!

So we decided, out of necessity, to legalize the fact that we were a single party. Ironically, it was necessary for us to do this in order to introduce some form of democracy into the country because otherwise, our own TANU party would have continued to win all the seats - no other party ever acquired a single member and we were returned unopposed.

In Parliament too, we behaved as if there was another party in the House but there was no debate there at all because there was no opposition. This was a ridiculous situation so we had to legalize the one-party system and then have opposition inside it in order to have democracy and debate. This has had extremely good results. It has given this country one of its major strengths--unity.

Of course unity is based on many different things but the unity we have built through the one- party system has been a very strong one because it has also allowed the party to articulate the reasonable aspirations of the majority of our people. Philosophically speaking, I am not a believer in the one-party system exclusively; my own inclination is towards a multi-party system but I do not regard that system to be the only way to democracy. We have tremendous debate and opposition in our party; we are a mass party, not a vanguard party, and we have the whole spectrum of opinions in our party of two million members. This fact has also helped us to contribute to the struggle for liberation - our mass party gave us the unity necessary for this.

As for socialism, my first contact was with European, mainly British, socialism, not with the socialism of Marx and Lenin. When I started the movement towards independence, we talked of independence, not socialism, about which we had some vague ideas. This was not altogether a bad thing, I believe, because it allowed us to form our own ideas after independence and in the face of the real problems that came to us, rather than through a particular theory. Hence the Arusha Declaration which is a very simple document having two parts: one on socialism and another on self-reliance. It is not a profound theory but a way of dealing with practical problems which arose after independence. For example, soon after independence, we realized that civil servants expected to have the right to earn rent from the houses they had built through receiving government loans. We had to explain that this was wrong and so the Arusha Declaration says that everyone should work for his or her living. This causes a lot of trouble but it is very simple and still very relevant.

The principle of self-reliance came in response to the fact that, after independence, our members of Parliament began demanding money all the time. This was clearly an impossible demand-we all have to depend on ourselves everywhere-in the regions and the villages. So we decided to formulate the need for self-reliance as a principle. So I have nothing to change here -the need for self-reliance at all levels has never been more vital. What has gone wrong with the Arusha Declaration is that it is not being carried out; it remains relevant and I would not change a comma if I were to re-write it now.

Source: http://pambazuka.org/en/category/features/59513
 
Yeye mwenyewe alishawahi ku plagiarize na kusema bila kutoa accreditation kwamba "kuna vitabu vya kusoma, vingine vya ku skip, vingine vya ku skim, vingine vya kusoma na kurudia" vyake ni vya ku-skim, yeah, nimeskim na nimemfahamu kwamba he is a sly totalitarian asiyependa kushindwa, thats not exactly a role model I would spend my scarce reading time studying.

Kumbe umeskim. I see. No comment.
 
What is orginality? What about adaptability? Hebu msikilize mzee wa originality and adaptability alichosema mwaka 1984 kuhusu madai yako:

JULIUS NYERERE: My political education was of the Western liberal type up to the time of independence and so I believed in the multi-party model. But in the struggle for independence, we organized our independence party extremely well. We then found ourselves in the ridiculous position of behaving as if we had a multi-party system with only one party!

So we decided, out of necessity, to legalize the fact that we were a single party. Ironically, it was necessary for us to do this in order to introduce some form of democracy into the country because otherwise, our own TANU party would have continued to win all the seats - no other party ever acquired a single member and we were returned unopposed.

In Parliament too, we behaved as if there was another party in the House but there was no debate there at all because there was no opposition. This was a ridiculous situation so we had to legalize the one-party system and then have opposition inside it in order to have democracy and debate. This has had extremely good results. It has given this country one of its major strengths--unity.

Of course unity is based on many different things but the unity we have built through the one- party system has been a very strong one because it has also allowed the party to articulate the reasonable aspirations of the majority of our people. Philosophically speaking, I am not a believer in the one-party system exclusively; my own inclination is towards a multi-party system but I do not regard that system to be the only way to democracy. We have tremendous debate and opposition in our party; we are a mass party, not a vanguard party, and we have the whole spectrum of opinions in our party of two million members. This fact has also helped us to contribute to the struggle for liberation - our mass party gave us the unity necessary for this.

As for socialism, my first contact was with European, mainly British, socialism, not with the socialism of Marx and Lenin. When I started the movement towards independence, we talked of independence, not socialism, about which we had some vague ideas. This was not altogether a bad thing, I believe, because it allowed us to form our own ideas after independence and in the face of the real problems that came to us, rather than through a particular theory. Hence the Arusha Declaration which is a very simple document having two parts: one on socialism and another on self-reliance. It is not a profound theory but a way of dealing with practical problems which arose after independence. For example, soon after independence, we realized that civil servants expected to have the right to earn rent from the houses they had built through receiving government loans. We had to explain that this was wrong and so the Arusha Declaration says that everyone should work for his or her living. This causes a lot of trouble but it is very simple and still very relevant.

The principle of self-reliance came in response to the fact that, after independence, our members of Parliament began demanding money all the time. This was clearly an impossible demand-we all have to depend on ourselves everywhere-in the regions and the villages. So we decided to formulate the need for self-reliance as a principle. So I have nothing to change here -the need for self-reliance at all levels has never been more vital. What has gone wrong with the Arusha Declaration is that it is not being carried out; it remains relevant and I would not change a comma if I were to re-write it now.

Source: http://pambazuka.org/en/category/features/59513

And you want to elevate a man with such low standards to academic immortality?
 
Kumbe umeskim. I see. No comment.

He is not worth my time, huwezi kusoma kila kitu, especially if it is some recycled plagiarism.Mimi nimesoma Labor movement na Fabian philosophy aliyojifunza yeye kabla ya kuwa "Mwalimu", nimemsoma Marx, nimemsoma Engels, nimemsoma Juche, nimemsoma Mao, nimemsoma Kenyatta -more Afro-Centric kuliko Nyerere- na Senghor, na Cheik Anta Diop, na Mbiti.

Nyerere alikuwa confused tu, ushahidi ni the whole mutually exclusive hoopla about "Ujamaa na Kujitegemea". Future historians watacheka sana.
 
He is not worth my time, huwezi kusoma kila kitu, especially if it is some recycled plagiarism.Mimi nimesoma Labor movement na Fabian philosophy aliyojifunza yeye kabla ya kuwa "Mwalimu", nimemsoma Marx, nimemsoma Engels, nimemsoma Juche, nimemsoma Mao, nimemsoma Kenyatta -more Afro-Centric kuliko Nyerere- na Senghor, na Cheik Anta Diop, na Mbiti.

Nyerere alikuwa confused tu, ushahidi ni the whole mutually exclusive hoopla about "Ujamaa na Kujitegemea". Future historians watacheka sana.

As if you can indoctrinate/dictate what historians think or will think:

http://africanhistory.about.com/od/biography/a/bio-Nyerere.htm

Julius Kambarage Nyerere

Father of Tanzania

By Alistair Boddy-Evans, About.com

Julius Kambarage Nyerere was one of Africa's leading independence heroes (and a leading light behind the creation of the Organization of African Unity), the architect of ujamaa (an African socialist philosophy which revolutionized Tanzania's agricultural system), the prime minister of an independent Tanganyika, and the first president of Tanzania.
 
As if you can indoctrinate/dictate what historians think or will think:

http://africanhistory.about.com/od/biography/a/bio-Nyerere.htm

Julius Kambarage Nyerere

Father of Tanzania

By Alistair Boddy-Evans, About.com

Julius Kambarage Nyerere was one of Africa's leading independence heroes (and a leading light behind the creation of the Organization of African Unity), the architect of ujamaa (an African socialist philosophy which revolutionized Tanzania's agricultural system), the prime minister of an independent Tanganyika, and the first president of Tanzania.

Naona unafuata nyayo za hero wako kwa ku copy paste, at least wewe unatoa sources.
 
He is not worth my time, huwezi kusoma kila kitu, especially if it is some recycled plagiarism.Mimi nimesoma Labor movement na Fabian philosophy aliyojifunza yeye kabla ya kuwa "Mwalimu", nimemsoma Marx, nimemsoma Engels, nimemsoma Juche, nimemsoma Mao, nimemsoma Kenyatta -more Afro-Centric kuliko Nyerere- na Senghor, na Cheik Anta Diop, na Mbiti.

Nyerere alikuwa confused tu, ushahidi ni the whole mutually exclusive hoopla about "Ujamaa na Kujitegemea". Future historians watacheka sana.

Usindanganye watu, mawazo ya mwalimu yametumika sana katika jumuia ya wanasayansi, kwa mfano model yake ya ujamaa na kujitegemea. Huu ni ushahidi wa umuhimu wa mawazo yake katika maendeleo ya sayansi. Lakini pia Nyerere amesisitiza sana umoja kati ya watanzania, kitu ambacho hata wenzetu wa ulaya wanakishikilia sana tunu ya kuendeleza nchi zao.
 
Usindanganye watu, mawazo ya mwalimu yametumika sana katika jumuia ya wanasayansi, kwa mfano model yake ya ujamaa na kujitegemea. Huu ni ushahidi wa umuhimu wa mawazo yake katika maendeleo ya sayansi. Lakini pia Nyerere amesisitiza sana umoja kati ya watanzania, kitu ambacho hata wenzetu wa ulaya wanakishikilia sana tunu ya kuendeleza nchi zao.

Nilishasema hapa "ujamaa na kujitegemea" is one of the biggest frauds political science ever witnesed.

Any valid political system must be practicable at the individual level, sasa by definition, ujamaa na kujitegemea ni vitu viwili vilivyo mutually exclusive at the individual level.

Ukiwa mjamaa maana yake unaishi katika society ya watu wanaotegemeana, hivyo hujitegemei.

Ukiwa unajitegemea huhitaji ujamaa, kwa maana kujitegemea ni kujitosheleza, sasa kama unajitosheleza ujamaa wa nini? Na hata ukiamua kuwa mjamaa licha ya kuweza kujitosheleza utavua kujitegemea.Mtu hawezi kuwa mjamaa anayejitegemea at the same time, the two are mutually incompatible.

Sasa hiyo ni fraud moja tu ya Nyerere.
 
Nilishasema hapa "ujamaa na kujitegemea" is one of the biggest frauds political science ever witnesed.

Any valid political system must be practicable at the individual level, sasa by definition, ujamaa na kujitegemea ni vitu viwili vilivyo mutually exclusive at the individual level.

Ukiwa mjamaa maana yake unaishi katika society ya watu wanaotegemeana, hivyo hujitegemei.

Ukiwa unajitegemea huhitaji ujamaa, kwa maana kujitegemea ni kujitosheleza, sasa kama unajitosheleza ujamaa wa nini? Na hata ukiamua kuwa mjamaa licha ya kuweza kujitosheleza utavua kujitegemea.Mtu hawezi kuwa mjamaa anayejitegemea at the same time, the two are mutually incompatible.

Sasa hiyo ni fraud moja tu ya Nyerere.

Pundit hiyo ni definition yako ya Kujitegemea tuliyoijadili sana humu JF. Sio ya Nyerere. Ya Nyerere ipo hapo juu kwenye interview yake na Nawaal El Saadawi. Tanzania ilikuwa inajenga mfumo wa 'Kujitegemea kwa Kutegemeana' sisi wenyewe (Ujamaa). In other words what Nyerere meant by self-reliance was 'collective self-reliance' - kujitegemea kwa pamoja as a whole!
 
Pundit hiyo ni definition yako ya Kujitegemea tuliyoijadili sana humu JF. Sio ya Nyerere. Ya Nyerere ipo hapo juu kwenye interview yake na Nawaal El Saadawi. Tanzania ilikuwa inajenga mfumo wa 'Kujitegemea kwa Kutegemeana' sisi wenyewe (Ujamaa). In other words what Nyerere meant by self-reliance was 'collective self-reliance' - kujitegemea kwa pamoja as a whole!

Nimeshasema hakuna siasa/ imani inayotekelezeka na nchi bila kuweza kutekelezeka katika level ya individual.

Huwezi kusema mimi ni mkristo kwa sababu naishi katika nchi au nyumba ya kikristo wakati wewe mwenyewe kama individual huwezi kutekeleza ukristo.Ndiyo maana ujamaa ume fail, hauko practicable.

"Kujitegemea kwa kutegemeana" is an oxymoron, either unajitegemea or unategemeana na wenzako, huwezi kujitegemea and at the same time ukawa unategemea wenzako.Just from the logical definitions.
 
yaani toka mmeaza kubishana kwa nguvu ya hoja kwenye mjadala huu mmesaidia sana kunifumbua macho kuhusu ujamaa,kujitegemea na fikra za mwalimu zaidi na zaidi,
bluray na companero asanteni sana.
 
yaani toka mmeaza kubishana kwa nguvu ya hoja kwenye mjadala huu mmesaidia sana kunifumbua macho kuhusu ujamaa,kujitegemea na fikra za mwalimu zaidi na zaidi,
bluray na companero asanteni sana.

Ndiyo maana ya forum, na utamu wa forum clash.

Nyerere sasa hivi anataka kufanywa kama dini, heck, tayari wanataka kumfanya "Saint Nyerere"
 
Nimeshasema hakuna siasa/ imani inayotekelezeka na nchi bila kuweza kutekelezeka katika level ya individual.

Huwezi kusema mimi ni mkristo kwa sababu naishi katika nchi au nyumba ya kikristo wakati wewe mwenyewe kama individual huwezi kutekeleza ukristo.Ndiyo maana ujamaa ume fail, hauko practicable.

"Kujitegemea kwa kutegemeana" is an oxymoron, either unajitegemea or unategemeana na wenzako, huwezi kujitegemea and at the same time ukawa unategemea wenzako.Just from the logical definitions.

Aisee huu mjadala tulishaumaliza. Mimi kama mtu binafsi najitegemea kwa kufanya shughuli zangu (Kujitegemea). Kisha tunajumuika pamoja kufanya shughuli za pamoja (Kutegemeana). Hii ni kanuni ya maisha kuanzia kwenye familia mpaka kwenye taifa. Hata huko kwenye mfumo wa Ubepari kuna mambo watu wanafanya kibinafsi (individually) na kuna mambo wanafanya pamoja (collectively). Hiyo ndio misingi ya Demokrasia. Mwalimu Nyerere aliliweka wazi hili katika hii 'A New Synthsesis of Man and Society' ambayo umekiri kuwa umeipitia tu badala ya kuitafakari:

Man's existence in society involves an inevitable and inescapable conflict - a conflict of his own desires. For every individual really want two things: freedom to pursue his own interests and his own inclinations. At the same time he wants the freedoms which can be obtained only through life in society - free from fear of personal attacks, freedom from the effects of natural dangers which from time to time hit every individual and which cannot be withstood without help, and freedom to gain rewards from nature for which his own unaided strength is insufficient. Yet as soon as an individual becomes a member of society he must sacrifice, in the interests of the society, certain of the private freedoms which he posses outside society. For example, to gain personal safety a man must surrender his own power to attack others; to benefit from co-operative endeavour he must at times co-operate with others regardless of his own particular wishes. This kind of conflict is inherent in the existence of society - all societies.

Na miaka mingi baadaye aliongezea kwa kusema haya katika mahojiano pale Kijijini Butiama:

If the blessed Lord had wanted a planet for myself, He would have done it. He could have made a planet for every single individual but He never did it. He put us in community, and we jolly well have to live as part of it...Of course, I’m an individual and a member of a community. And the community has conditions. All the commandments – Thou Shalt Not – are about community…individuals, yes – but individuals in the community. Individuals, yes –because I myself am an extremely assertive individual. Nobody can doubt my own commitment to my own individualism, but I am still an individual within the community.”

Ujamaa (Kutegemeana) na Kujitegemea (Upamoja) ndio njia ya kuoanisha ubinafsi na upamoja kwa urari/uwiano!
 
Aisee huu mjadala tulishaumaliza. Mimi kama mtu binafsi najitegemea kwa kufanya shughuli zangu (Kujitegemea). Kisha tunajumuika pamoja kufanya shughuli za pamoja (Kutegemeana). Hii ni kanunu ya maisha kuanzia kwenye familia mpaka kwenye nchi. Hata huko kwenye mfumo wa Ubepari kuna mambo watu wanafanya binafsi (individually) na kuna mambo wanafanya pamoja (Collectively). Hiyo ndio misingi ya Demokrasia. Mwalimu Nyerere aliliweka wazi hili katika hii ' A New Synthsesis of Man and Society' ambayo umekiri kuwa umeiskim tu badala ya kuitafakari:

Kujitegemea maana yake humtegemei mtu.Ujamaa maana yake unafanya vitu pamoja na wenzako mnategemeana, unaweza kuwa mjamaa, unaweza kujitegemea, huwezi kuchanganya ujamaa na kujitegemea pamoja kwa wakati mmoja, ni sawa sawa na hasi na chanya, hazikai pamoja.

Huo mfano wa ubepari hauhusiki kwa sababu wao hawana system yenye contradiction kama "ujamaa na kujitegemea". Ubepari una stress individualism, lakini haukatazi wala ku discourage cooperation, wala hakuna mutual exclusivity katika system inayoruhusu diversity ya individualism na cooperation kama iliyopo katika state system yenye "ujamaa na kujitegemea" , ndiyo maana wenzetu wana polarity.System za nchi kama Marekani na Ulaya zinaruhusu ma liberals/ social democrats/ socialists on the one hand na ma conservatives on the other, ndiyo maana unakuta wakichukua nchi Labor wanaendeleza policies za labor ambazo zilikuwa mambo ya kijamaa sana, central economy na unions, wakishinda conservatives wanaimplement policies zao za fre market, lakini huwezi kukuta chama kimoja kina a paradoxical manifesto inayotaka a centrally planned economy that is also market driven (I am not talking about a mixed economy, Im talking about this running in parallel in totality)

Chama kimoja, siasa mbili tofauti zinazopingana.But then again hata structure yetu ya muungano -ya Nyerere- ni ya ajabu ajabu tu, kwa hiyo hata sishangai sana.
 
Back
Top Bottom