mbogo31
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 711
- 173
Tulimwomba bosi wetu jana ili atuletee TV offisini na amefanya hivyo lakini naona kimya, hii television ya Gamba (TBC) na Star tv hawaonyeshi, je Bunge linaendelea???????
Limeahirishwa mpaka tarehe 13.