Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,572
Mkuu, punguza jazba kidogo kwa madhumuni ya mjadala huu
Jazba haina nafas kwangu mdau,maana ukiendekeza wanasiasa waweza pata stroke,ila tu wanasiasa ni wanafkinafki,jana walikua wanazomea,leo wanashangilia