"Aidha, Muungano ulidumu mauaji ya viongozi waandamizi na wajumbe wa Baraza la Mapinduzi la kwanza la Jamhuri ya Watu wa Zanzibar kama Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar Abdallah Kassim Hanga"
sidhani kama muungano ulihusika na kifo cha Hanga kama sio kama masuala yaliyokuwa yakiendelea Zanzibar baada ya mapinduzi - mapinduzi si lele mama.
Mungu anajua 'muungano ulikuwa mzuri kwa pande zote, tatizo wenzetu waliota ndoto ya mchana wamepata mafuta ktk ardhi yao kabla hawajaanza kuchimba wakaanza kujadili muungano!! Mh atazungumza kwa hoja za maana
.. Hili ndio tatizo la kusoma hitoria kwenye vitabu vya Nyerere nani alikwambia Muungano ulikuwa mzuri, day one Karume kasema Muungano kama koti likikubana unalivua alijua kuna matatizo katika muungano huu, matatizo yote yameletwa na uroho wa madaraka wa Nyerere alijua kuunda serikali tatu kama ilivyotakiwa iwe kwenye mkataba wa Muungano ni gamble kwake naama akiwa rais ya Muungano bila Tanganyika, Rashidi atakuwa na nguvu kuliko yeye na akiwa rais wa Tanganyika na mwengine akawa Rais wa Muungano yeye atakuwa chini, aakumua kuwaingia wowote katika Muungano bila ridhaa ya Zanzibar, maana sisi tulikubali mambi ya ulinzi ili comrade wasituzidi nguvu, mambo ya ndani kwa ajili hiyo hiyo na mambo ya nje kwa kuwa nchi nyingi zililaani mapinduzi yetu, tulifanya hivyo by purpose, nyine Tanganyika mkajifanya smart mkatupa turufu zenu zote chini mkijua sisi hatuna tujichobakiza sasa mnalia.
Mnamlilia nani kwa ujinga wenu, wajinga ndio waliwao, kuipata tanganyika yenu mapaka sisi zanzibar tukubali, vinginevyo hizo ni hekalu za alinacha. mtasema mpaka mtapasuka, hauitowi tanganyika ila mukubali kubeba madeni yote ya Tanzania maana nyinyi ndio muliokopo sio sisi, kama mtalikubali hilo leteni MoU tuone. Vinginevyo pigeni kelele hazitushituwi na hatutoshidwa kulala zanzibar kwetu maana hamna akili watanganyika mna utajiri mmeukalia, na hamtozinduka mpaka mtakapoacha kuaabudu mwenge huko ndiko alikowaroga Nyerere na kuwatoa msukule mkatoka akili nyie, hamtuwezi sisi, angali sisi milioni moja tunawachezesha ngoja mijitu millioni 40 kama ni ukalulu ni nini, mmesoma hamkujua sasa itabidi mjifunze mujuwe.