Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
jamanii huyu mtu mbona haeleweki.uchizi unamnyemelea au anaweweseka? alianza kusema hamtambui bwana karume.baadae akabadiri msimamo.sasa kaja na mpya anataka haasimu wa ke aongezewe muda wa kutawala kweli hii inaingia akilini bila kuitilia mashaka akili yake?