MrFroasty
JF-Expert Member
- Jun 23, 2009
- 1,195
- 592
Pitia posts za kijana anayeitwa MrFroasty ambaye kwa hesabu za haraka haraka kazaliwa baada ya CCM. Anayalaani mapinduzi ya mwaka 1964 lakini anajiita mwafrika mwenye damu ya KiOmani.
Nakupa ruhusa ya kunibandika label ya uarabu maana hivyo ndio upendavyo au unavyotaka ifahamike.
Nafikiria itakubidi wazanzibari wote uwabandike label hiyo hiyo ya uarabu ili upate kuwapiga pute haki zao.
Naona algorithm hii haiwezi kufanya kazi, mimi ni mzanzibari na nadai haki yangu ya msingi ya kuweza kujiamulia mambo mazito ya nchi yangu ya Zanzibar kupitia wawakilishi wangu hapo Maisara na sio NEC Dodoma!
Sasa sijuwi tatizo lenu liko wapi?...aaah nishakumbuka mie sina haki ya Zanzibar ni muarabu