FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,889
- 109,222
Mkuu inaonekana tunazungumzia vitu viwili tofauti. Mh rais hapo reference yake ni "utaratibu uliopo" BAADA YA KUJIUNGA akimaanisha sheria za UNESCO zinavyo zifunga nchi wanachama. Hapo yuko sahihi kwa sehemu. Swali langu je sheria zetu zinasemaje kwa taratibu ZA KUJIUNGA? Hapo ndipo tatizo lilipo na tulipaswa kurekebisha our own approach na siyo kupeleka aibu UNESCO wakati hata jeraha la CITES kutuzuia KWA AIBU kuuza meno ya tembo kule Qatar halijapona.
Hata ufahamishwe vipi hutaelewa kwani usha "set mind" yako kuwa "biased". Kila atachosema au fanya Kikwete hata kiwe chema kipi, hutokiona. Umefunga.