Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
siwezi kusikiliza huu upupu manyanganyanga haya bora niende kucheza kamali
anaongelea nini? naomba update, sipo karibu na TV!
siwezi kusikiliza huu upupu manyanganyanga haya bora niende kucheza kamali
No nivizur kusikiliza ili kubaini walipofikia na mbinu mpya wanazokuja nazo kutudanganya.
Amewaagiza Tanesco wakodi mitambo ya umeme wa dharula kwa halaka zaidi.hapo ndo nmeshituka.
anasema tuombe Mungu mvua zinyeshe bwawa la mtera lijae kwani mgao unaendelea.
kaongea nini cha maana? maana ndo nimetoka bafuni kuoga naona wanapiga wimbo wa TAIFA tbc
kitu gani cha maana kaongea???
Akapate kikombe cha babu, hali yake imezidi kuwa mbaya
Wadau hebu tupe summary kaongea nini cha maana baada ya mwezi mzima
cha maana alchosema ni wananch 2dai receipt ya kla bdhaa 2nayonunua madukan!
Akapate kikombe cha babu, hali yake imezidi kuwa mbaya
naona ana-summarize maagizo aliyoyatoa kwenye ziara zake katika wizara mbalimbali.
Sasa sijui anafikiri tumesahau aliyoyaagiza, au hakuwa na la kusema leo. Mimi sijui naona hata yeye hajui. Maana jamaa ni bingwa wa kutojua,
kwa nini sisi masikini hajui
kwa nini nchi yetu ina malighafi nyingi lakini haina viwanda hajui,
kwa nini form four wamefeli sana, hajui,
kwa nini bei ya bidhaa inapanda hajui,
kwa nini bei ya mafuta inazidi kupaa hajui,
kwa nini thamani ya shilingi inashuka, hajui.
Kwa nini ufisadi umetamalaki, hajui
angejua angetafuta solutions, huyu uchumi alidesa.