FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,191
hivi rais mzima unaweza ukahiza wananchi kuchukua risiti?kamisha tra anafanya nini?afisa biashara kazi yao nini siku hizi?hajui kuwa uzembe,ukiritimba wa TRA ndio unawakatisha tamaa wananchi kulipa kodi wafanyakazi wa tra wana majibu ya mkato hovyo sana
Hiyo inaonesha ni vipi Rais anajali na anatazama kila "detail".