Peter Msigwa
Member
- Nov 24, 2007
- 9
- 13
Kwa kuwa nimetambua kuwa wewe umejiweka kwenye sehemu ya kushauli ila wewe hutaki kushauriwa, kukosoa ila hutaki kukosolewa.na kwa mtazamo wako naona unaona kwa kuwa mimi ni kiongozi basi mimi siruhusiwi kushauri au kutetea yale ninayoamini.
Mimi sio mwumini wa siasa nyepesi nyepesi, nivizuri kujadili mambo ya Taifa but with critical minds,sio mtu anakurupuka hana utafiti wa kutosha anaandika andika bila habari za kutosha,ilimradi watu waone ameandika, KWA KIFUPI NIMEAMUA KUISHIA HAPA KWANI KILA NIKIKUULZA SWALI UNAKUWA OUT OF CONTEXT.
NA MIMI MJADALA UNAPOKUWA OUT OF CONTEXT NASHINDWA KUUJADILI, By the way it was cool getting to chat with you ,
Mimi sio mwumini wa siasa nyepesi nyepesi, nivizuri kujadili mambo ya Taifa but with critical minds,sio mtu anakurupuka hana utafiti wa kutosha anaandika andika bila habari za kutosha,ilimradi watu waone ameandika, KWA KIFUPI NIMEAMUA KUISHIA HAPA KWANI KILA NIKIKUULZA SWALI UNAKUWA OUT OF CONTEXT.
NA MIMI MJADALA UNAPOKUWA OUT OF CONTEXT NASHINDWA KUUJADILI, By the way it was cool getting to chat with you ,