Sonara
JF-Expert Member
- Oct 2, 2008
- 726
- 68
Alishindwa kuwaeleza wananchi ukweli badala yake aliwaeleza CCM na serekali yake ilivyo saidia wananchi wa South Africa zimbabwe , jinsi gani tumewapa hifadhi hapa sasa mwanachi analilia na maisha yake ya siku zote wewe unajisifia jinsi ulivyomsaidia mtu wa mbali huku mwanachi wako anaishi maisha sawa na mnyama pori ?jamani