Hotuba ya Kikwete haina jipya kwa watuhumiwa wa Escrow. Muhongo ziarani Mara kesho

Wanajukwaa, yule waziri anayetuhumiwa kuwa dalali wa mafisadi wa Uchotaji wa fedha za Escrow, Sospeter Muhongo, amemwaga fedha nyingi inayosadikiwa kupita mil 45 kwa ajili ya mapokezi atakayoyapata katika ziara yake mkoani. Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Nyangwene Masirori ndiye anayegawa fedha hizi.ambapo wenyeviti wa vijiji atakazopitia wanalewa laki tano.
 
Mimi naona ni baraka Kwa UKAWA kama hakulizungzia jambo hili wala kideal nalo. Nasema hivyo kwani kutokufanya chochote kuna ongeza nguvu ya ujumbe wa upinzani kuhusu ufisadi wa CCM na jinsi imeshindwa na haiwezi kutatua swala hili la ufisadi na rushwa. Wananchi wataona wazi jambo hili na ni faida kwa UKAWA.

Kwahiyo mwache asiseme lolote la maana!!
 
wanajukwaa, yule waziri anayetuhumiwa kuwa dalali wa mafisadi wa uchotaji wa fedha za escrow, sospeter muhongo, amemwaga fedha nyingi inayosadikiwa kupita mil 45 kwa ajili ya mapokezi atakayoyapata katika ziara yake mkoani. Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la nyangwene masirori ndiye anayegawa fedha hizi.ambapo wenyeviti wa vijiji atakazopitia wanalewa laki tano.
...acha wamalizwe tu hao waswahili,muhongo lete fedha home
 
dah kwa hiyo ndo mgawao wa escrow umeanza kuwashukia watu wa musoma?
 
Kama mnasubiri hotuba ya rais Kikwete mkitegemea maamuzi chanya kwenye suala la Escrow basi mnapoteza muda wenu tu.

Kesho mwizi wa escrow na dalali mhimu katika wizi huo ndugu Prof Muongo anaanza ziara rasmi ya kiserikali mkoani mara.

Hii inatafsiriwa kuwa ktk hotuba ya mwenye jamhuri, watuhumiwa wa escrow sio sehemu ya agenda zake na wala hatambui uwepo wa agizo la Bunge.

Maandalizi yote kwaajili ya ziara hiyo ya le prof Muongo yamekamilika.

Atatembelea wachimbaji wadogo wilaya ya butiama, mgodi wa nyamongo na kueleza mafanikio ya wizara kuhusu umeme vijijini.

Atatoa mitaji kwa wachimbaji wadogo wadogo na kueleza fursa zilizopo katika Mkoa wa Mara, pia atatembelea wilaya zote na kuzungumza na wananchi.


Asante mkuu kwa taarifa.

Hivi hao wachimbaji wadogo wapo mkoa wa Mara tu? Au ndio kampeni za 2015 kwa kutumia rasilimali za nchi? Inaelekea amehakikishiwa na boss wake aendelee na kazi mengine atayamaliza yeye. Angalie yasije yakammliza yeye!
 
Wananchi na Tanzania kwa ujumla wajiandae kutoka barabarani, Rais asipotumia busara anaweza asimalize muda wake.
 
Lakini kwa sasa tunashukuru kwamba angalau tuna serikali za vijiji za kutosha, kwa hiyo upuuzi kama huu utajulikana jitahidi sana
 
Watanzania wenzangu Hivi bado mnataka Imani Mr President atamwajibisha mtu........poleni sana,Najua muna shauku wahalifu wakutane na Haki yao lkn nawahakikishia sio JK wa kutoa hukumu na wala tusimlazimishe,nakumbuka comment ya mwana JF mmoja aliyesema JK kupuuzia mawazo ya wananchi Ni mpango wa Mungu hili lichama life.......
 
Kama mnasubiri hotuba ya rais Kikwete mkitegemea maamuzi chanya kwenye suala la Escrow basi mnapoteza muda wenu tu.

Kesho mwizi wa escrow na dalali mhimu katika wizi huo ndugu Prof Muongo anaanza ziara rasmi ya kiserikali mkoani mara.

Hii inatafsiriwa kuwa ktk hotuba ya mwenye jamhuri, watuhumiwa wa escrow sio sehemu ya agenda zake na wala hatambui uwepo wa agizo la Bunge.

Maandalizi yote kwaajili ya ziara hiyo ya le prof Muongo yamekamilika.

Atatembelea wachimbaji wadogo wilaya ya butiama, mgodi wa nyamongo na kueleza mafanikio ya wizara kuhusu umeme vijijini.

Atatoa mitaji kwa wachimbaji wadogo wadogo na kueleza fursa zilizopo katika Mkoa wa Mara, pia atatembelea wilaya zote na kuzungumza na wananchi.
Washaambiwa wakienda milimani wataikuta milima imegeuka theluji....wakikimbilia baharini wataikuta bahari inachemka....where are they gonna hide?/
 
Simbachawene aliuliza bungeni, raisi akikataa mapendekezo yenu mtamfanya nini? Hapa sasa ni kwetu wadanganyika, kusuka au kunyoa.
 
Back
Top Bottom