TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,514
- 11,277
Doooh!
Majjid kuna mengi umenena na sijakubaliana nayo.
Kwamba JK ametumia busara, sidhani kama uko sahihi - Shinikizo ni kubwa kwa sasa (watu wana mwamko).
Kwamba JK si mwendawazimu, labda uko sahihi - ila mbona alikuwa anaongea kimajungu sana juu ya watu wanaotaka kusababisha vurugu? kama rais wa nchi amewashindwa wafanya vurugu nani atawaweza? (hapo namaanisha kuwa mleta vurugu namba moja ni yeye)
Kwamba JK amefocus miaka 50 ijayo, si kweli - Angeanza na kuisafisha system
I have a strong feeling of Hatred towards my President.. Yes, i said so!
Majjid kuna mengi umenena na sijakubaliana nayo.
Kwamba JK ametumia busara, sidhani kama uko sahihi - Shinikizo ni kubwa kwa sasa (watu wana mwamko).
Kwamba JK si mwendawazimu, labda uko sahihi - ila mbona alikuwa anaongea kimajungu sana juu ya watu wanaotaka kusababisha vurugu? kama rais wa nchi amewashindwa wafanya vurugu nani atawaweza? (hapo namaanisha kuwa mleta vurugu namba moja ni yeye)
Kwamba JK amefocus miaka 50 ijayo, si kweli - Angeanza na kuisafisha system
I have a strong feeling of Hatred towards my President.. Yes, i said so!