lm317
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 451
- 44
Kweli bwana anaudhi:angry::frusty:
:frusty::frusty::A S 114::A S 114::blah: You Maggid, ww kazi yako si Journalist wa Siasa, bakia Global publishers, UDAKU fits you best, acha kuandika
usichojua, koma, kaandike nani KAFUMANIWA,na GUEST GANI, Nani na nani wanatoka kungonoka etc, hii ndio kazi yako, umbea Journalism
& kujua Ubongo wako how low u r, ETI JANA JK KAFANYA JAMBO KUBWA SANA.....!!!!!!!!!!???? :frusty::frusty: :smash::smash: hii njaa hii, mbaya sana,
hasa unapokuwa na njaa ya akili, kwani nani alianzisha hoja ya katiba mpya? hata hujui unaandika nini, na TUNATAKA TUME HURU IUNDWE NA BUNGE na Dowans mbona hujamuuliza
hajasema chochote?, nadhani umeelewa why i said ww UMBEA, UDAKU, Upaparazzi unakufaaaaa, hivi have you even Graduated F4? Kaandike Amani, Ijumaa, Uwazi, Risasi usiingilie kuandika Siasa, get out, hata hufanani na Kinyonga wala Bendera fuata upepo, shame on you, hufaiiiii period