Hospitali ya Agha Khan madaktari wengi ni wanafunzi au ndio kwanza wanaanza kazi?

rodgers123

Senior Member
Jul 12, 2015
159
125
Ndugu wanajamvi.

Nimeona nilete hili kwenu natumaini wengi wenu mliowahi kwenda Hospital ya Aghakan pale mjini mme notice kuwa madaktari wengi ni wanafunzi ambao hawana uzoefu. Na wengi hurudi kwenye kusoma Notice ili kujua mgonjwa anasumbuliwa na nini..?

Nilimpeleka mtu mida ya usiku emergency kwa kweli nilipata wasiwasi maana wengi waliokuwa pale reception walionekana kutojua vitu, wengine hata kuandaa drip ilikuwa ni tatizo mpaka wapeane msaada wenyewe kwa wenyewe. Kwa kweli niliogopa sana na sikuamini hospital kubwa kama ile kuwa na mdaktari ambao hawana uzoefu tena sehemu ya emergency.
 
Ndugu wanajamvi.

Nimeona nilete hili kwenu natumaini wengi wenu mliowahi kwenda Hospital ya Aghakan pale mjini mme notice kuwa madaktari wengi ni wanafunzi ambao hawana uzoefu. Na wengi hurudi kwenye kusoma Notice ili kujua mgonjwa anasumbuliwa na nini..?

Nilimpeleka mtu mida ya usiku emergency kwa kweli nilipata wasiwasi maana wengi waliokuwa pale reception walionekana kutojua vitu, wengine hata kuandaa drip ilikuwa ni tatizo mpaka wapeane msaada wenyewe kwa wenyewe. Kwa kweli niliogopa sana na sikuamini hospital kubwa kama ile kuwa na mdaktari ambao hawana uzoefu tena sehemu ya emergency.
Rudi kwa aliyekutuma uje hapa JamiiForums kuichafua Hospitali ya Agha Khan kwani kama kuna Hospitali yenye Uweledi, Umakini, Huduma nzuri na Madaktari walioenda Shule Kuelimika na siyo Kusoma tu basi ni ya Agha Khan.

Hii Hospitali ina Historia Kubwa sana Kwangu MINOCYCLINE hivyo siyo tu naipenda bali nitaitetea daima na kuwa hata Balozi wake wa Kujiteua Mwenyewe kwa Kulazimisha.
 
Ndugu wanajamvi.

Nimeona nilete hili kwenu natumaini wengi wenu mliowahi kwenda Hospital ya Aghakan pale mjini mme notice kuwa madaktari wengi ni wanafunzi ambao hawana uzoefu. Na wengi hurudi kwenye kusoma Notice ili kujua mgonjwa anasumbuliwa na nini..?

Nilimpeleka mtu mida ya usiku emergency kwa kweli nilipata wasiwasi maana wengi waliokuwa pale reception walionekana kutojua vitu, wengine hata kuandaa drip ilikuwa ni tatizo mpaka wapeane msaada wenyewe kwa wenyewe. Kwa kweli niliogopa sana na sikuamini hospital kubwa kama ile kuwa na mdaktari ambao hawana uzoefu tena sehemu ya emergency.
Pumbavu sana. Wewe ni kibakuri tuu. Agakhan mwaza hapo wana madakitari Bingwa karibu idara zote. But wewe na majungu yako ya kifrica. Utakuwa mtoto wa MSIMBE
 
Ndugu wanajamvi.

Nimeona nilete hili kwenu natumaini wengi wenu mliowahi kwenda Hospital ya Aghakan pale mjini mme notice kuwa madaktari wengi ni wanafunzi ambao hawana uzoefu. Na wengi hurudi kwenye kusoma Notice ili kujua mgonjwa anasumbuliwa na nini..?

Nilimpeleka mtu mida ya usiku emergency kwa kweli nilipata wasiwasi maana wengi waliokuwa pale reception walionekana kutojua vitu, wengine hata kuandaa drip ilikuwa ni tatizo mpaka wapeane msaada wenyewe kwa wenyewe. Kwa kweli niliogopa sana na sikuamini hospital kubwa kama ile kuwa na mdaktari ambao hawana uzoefu tena sehemu ya emergency.
Mjini wapi, maana hospitali za Agha Khani zipo mikoa mingi hapa Tz
 
Hospitali za serikali pekee ndio zina madaktari wabobezi katika ukanda wetu huu wa Afrika; pelekeni wagonjwa wenu kwenye hospitali za umma, ata ukimchangia mafuta kidogo sio mbaya, kuliko kwenda huko private ambapo wako profit oriented.
Hujui usemalo, nenda muhimbili au mloga, bugando, kcmc
 
Back
Top Bottom