Wana JF naomba kuuliza ni wapi hapa Dar es Salaam hospitali nzuri kwa ajili ya huduma za kliniki kwa wanawake wajawazito ... nilikuwa na mpango wa kwenda Marie Stopes lakini naambiwa sio wazuri .............. msaada plssss
kuwa mwangalifu nenda hospital za private huduma bure serikali imeanzisha mpango wa kuboresha afya ya uzazi kwa kina mama na watoto
Pia kuna Shaffiq wa Aga Khan ila ana foleni ya kutosha.Annapurna ni mzuri sana, na nakushauri kulingana na matatizo yako.
Annapurna ni mzuri sana, na nakushauri kulingana na matatizo yako.
Yap, shafick nimzuri, kuna kapona tumaini hospital, ila sikumbuki ni siku ipi na ipi, na mwenye maria clinic, pale mbuyuni, jina limenitoka. Kuna dr, brender seguira alikuwa premier care namanga clinic, ila kwa sasa nasikia yupo trauma jaribu pia, she is the best of them all! Alinisaidia sana, na wengi niliowapeleka kwake aliwasaidia pia!
Yap, shafick nimzuri, kuna kapona tumaini hospital, ila sikumbuki ni siku ipi na ipi, na mwenye maria clinic, pale mbuyuni, jina limenitoka. Kuna dr, brender seguira alikuwa premier care namanga clinic, ila kwa sasa nasikia yupo trauma jaribu pia, she is the best of them all! Alinisaidia sana, na wengi niliowapeleka kwake aliwasaidia pia!