BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Ni kweli kila jambo watu wanamsingizia mungu
lakini vifo vingine kuna mapepo anawatumia hawa ma dk wetu na wauguzi na
hivyo mwishowe kutufanya wote tuamini mapenzi ya mungu .....huzuni kbwa ni pale
mhusika wa tukio unapokutwa na jambo ujajitayarisha..faraja tele ni wale waliosimama
na mungu muda wote wa maisha yao
ndugu zangu waapendwa nimewiwa kuwajulisha kuwa makini na hospital hii ambayo imekuwa
sasa ni zaidi ya sehemu ya mauwaji ya kimbari kule rwanda....sijui tatizo ni ujuzi ama nini
last months tulimpoteza shangazi wetu kwa uzembe na ujinga wa mpuuzi mmoja aitwa dk makuka
huyu dk alikuwa akimtibia na baada ya kufika akaambiwa ana kisukari kutokana na kuanza kuhangaika
kwenda kuleta vitu kama mgonjwa jioni akawa amewa direct wapuuzi wenzake manesi wamwekee
dripu ya qwinini....sasa mtu mwenye kisukari hata kama una akili gani uwezi kumwekea qwinini wakati anajua inashusha mapigo ya moyo asbh tulipofika tukaanza kulalamika akaanza kuhangaika na wapuuzi wenzake kumbadilishia dawa ...sisemi kwa ubaya ila ni ndio watalaam wetu hao tulionao
mchana mapigo yakawa chini kabisa....huyu dk akaitwa alivyokuwa mshenzi na hana adabu akadai yuko busy sehhemu akawaambia manesi wamwekee dripu nyingine .......
Nasema ni mshenzi maana atuitaji kuwa na washenzi kama hawa na hata namba yake nio vyema ukawa nayo incase unampeleka mgonjwa wako ukipiga ukaona anapokea yeye hama nenda hata dispensary zetu za kihuni pale sinza...wakati anatafutwa alikuwa hata kupokea simu apokei alivyokuwa mshenzi amesikia mgonjwa amefariki 15 mins yuko hospitalini anaanza kuulizia nini zaidi kimetokea
atutakiwi kukumbuka ya nyuma tunatakiwa kujali sie tuliopo na ndio maana nikaona si vyema kwenda kumhatarisha mgonjwa wako kwenye hospital ile ..namba yake ni 0713 783048
majuzi tena niikiwa kazini akazidiwa bibi yetu ...nae aliumwa kamalaria cha gafula ...bahati akiwa yuko hospital akanipigia mtu mmoja kwamba tuko hapa mikocheni b hospital naona wanataaka kumwekea dripu biibi nikaomba waachungulie wakakuta ni qwinini teeenaaaa......nikawaomba waniulizie bei tax nikawamia mleten hapa hindumandal hivyo hivyo....namshukuru mungu tumeshindwa kupoteza mwingine shemu ile ile....nahisi kuna wakati hawa watu wanatumiwa na mapepo ya uuwaji kuwamaliza watu ingawa wao wanaona wanawatibu...wapo waliosema yule baba aliozikwa pale mbele amezikwa na wanyama kadhaa wakiwa hai kwa hiyo watu watarajie roho nyingi tu kuondoka
sitaki kuamini ila sikupenda kitendo cha kumzika mbele ya hospital yake na hiyo hiyo wakati mwingine unakuta watoto wanachezea pale unaweza hisi kunduch beach hotel kumbe wako kwenye kaburi la mtu....
Ndugu zanguni tuwe makini tusimsingizie shetani ...huyu dk sikupenda kitendo chake baada ya kusikia mhusika amefariki nahisi akakodisha hammer kumuwahisha ....sidhani kama wahindi ama watanzaania tukiishi hivi nani atasalimika tunapoelekea wakati huuu dk wetu ulimboka akiwa kwenye matibabu
lakini vifo vingine kuna mapepo anawatumia hawa ma dk wetu na wauguzi na
hivyo mwishowe kutufanya wote tuamini mapenzi ya mungu .....huzuni kbwa ni pale
mhusika wa tukio unapokutwa na jambo ujajitayarisha..faraja tele ni wale waliosimama
na mungu muda wote wa maisha yao
ndugu zangu waapendwa nimewiwa kuwajulisha kuwa makini na hospital hii ambayo imekuwa
sasa ni zaidi ya sehemu ya mauwaji ya kimbari kule rwanda....sijui tatizo ni ujuzi ama nini
last months tulimpoteza shangazi wetu kwa uzembe na ujinga wa mpuuzi mmoja aitwa dk makuka
huyu dk alikuwa akimtibia na baada ya kufika akaambiwa ana kisukari kutokana na kuanza kuhangaika
kwenda kuleta vitu kama mgonjwa jioni akawa amewa direct wapuuzi wenzake manesi wamwekee
dripu ya qwinini....sasa mtu mwenye kisukari hata kama una akili gani uwezi kumwekea qwinini wakati anajua inashusha mapigo ya moyo asbh tulipofika tukaanza kulalamika akaanza kuhangaika na wapuuzi wenzake kumbadilishia dawa ...sisemi kwa ubaya ila ni ndio watalaam wetu hao tulionao
mchana mapigo yakawa chini kabisa....huyu dk akaitwa alivyokuwa mshenzi na hana adabu akadai yuko busy sehhemu akawaambia manesi wamwekee dripu nyingine .......
Nasema ni mshenzi maana atuitaji kuwa na washenzi kama hawa na hata namba yake nio vyema ukawa nayo incase unampeleka mgonjwa wako ukipiga ukaona anapokea yeye hama nenda hata dispensary zetu za kihuni pale sinza...wakati anatafutwa alikuwa hata kupokea simu apokei alivyokuwa mshenzi amesikia mgonjwa amefariki 15 mins yuko hospitalini anaanza kuulizia nini zaidi kimetokea
atutakiwi kukumbuka ya nyuma tunatakiwa kujali sie tuliopo na ndio maana nikaona si vyema kwenda kumhatarisha mgonjwa wako kwenye hospital ile ..namba yake ni 0713 783048
majuzi tena niikiwa kazini akazidiwa bibi yetu ...nae aliumwa kamalaria cha gafula ...bahati akiwa yuko hospital akanipigia mtu mmoja kwamba tuko hapa mikocheni b hospital naona wanataaka kumwekea dripu biibi nikaomba waachungulie wakakuta ni qwinini teeenaaaa......nikawaomba waniulizie bei tax nikawamia mleten hapa hindumandal hivyo hivyo....namshukuru mungu tumeshindwa kupoteza mwingine shemu ile ile....nahisi kuna wakati hawa watu wanatumiwa na mapepo ya uuwaji kuwamaliza watu ingawa wao wanaona wanawatibu...wapo waliosema yule baba aliozikwa pale mbele amezikwa na wanyama kadhaa wakiwa hai kwa hiyo watu watarajie roho nyingi tu kuondoka
sitaki kuamini ila sikupenda kitendo cha kumzika mbele ya hospital yake na hiyo hiyo wakati mwingine unakuta watoto wanachezea pale unaweza hisi kunduch beach hotel kumbe wako kwenye kaburi la mtu....
Ndugu zanguni tuwe makini tusimsingizie shetani ...huyu dk sikupenda kitendo chake baada ya kusikia mhusika amefariki nahisi akakodisha hammer kumuwahisha ....sidhani kama wahindi ama watanzaania tukiishi hivi nani atasalimika tunapoelekea wakati huuu dk wetu ulimboka akiwa kwenye matibabu