Hospitali Kwa Kairuki Ni Wauwaji, Dk Makuka Utawamaliza Watu

Mimi sio daktari ila nahindwa kukubali kama kumpasua mtu kibofu ni acceptable alafu ushindwe ku repair hadi afe. Na hakufa haraka ni kweli unavyosema alikufa baada ya wiki 3, labda ni acceptable kufa pole pole in 3 weeks

Katika operation ya uzazi, kupasua kibofu ni mojawapo ya complications zinazotarajiwa. Katika nchi zilizoendelea kama Marekani na Uingereza 0,5 -1 percent ya watu wanaofanyiwa operation hii hupata madhara haya. Pia hutegemea kama operation inafanyika kwa mara ya kwanza au mgonjwa anazaa kwa operation mara ya pili na zaidi, au kama kuna opration nyingine ya tumbo alifanyiwa.
Kuchana kibofu sio complication ya kusababisha mgonjwa kufa. Dawa yake huwa ni kurepair tu. Iwapo surgeon ameshindwa kurepair anaweza kuzuia damu kumwagika halafu akafanya utaratibu wa kumpata surgeon mwenye ujuzi wa kurepair.
Kama mgonjwa alichanwa kibofu wakati wa operation ya uzazi na daktari aliyefanya hiyo operation akagundua kuwa kibofu kimechanika hakiwezi kutokea kifo chenye uhusiano wa moja kwa moja na kuchanika kwa kibofu.
 
Katika operation ya uzazi, kupasua kibofu ni mojawapo ya complications zinazotarajiwa. Katika nchi zilizoendelea kama Marekani na Uingereza 0,5 -1 percent ya watu wanaofanyiwa operation hii hupata madhara haya. Pia hutegemea kama operation inafanyika kwa mara ya kwanza au mgonjwa anazaa kwa operation mara ya pili na zaidi, au kama kuna opration nyingine ya tumbo alifanyiwa.
Kuchana kibofu sio complication ya kusababisha mgonjwa kufa. Dawa yake huwa ni kurepair tu. Iwapo surgeon ameshindwa kurepair anaweza kuzuia damu kumwagika halafu akafanya utaratibu wa kumpata surgeon mwenye ujuzi wa kurepair.
Kama mgonjwa alichanwa kibofu wakati wa operation ya uzazi na daktari aliyefanya hiyo operation akagundua kuwa kibofu kimechanika hakiwezi kutokea kifo chenye uhusiano wa moja kwa moja na kuchanika kwa kibofu.

Sasa mkuu unabisha wakati ilitokea hivyo na Dr akaniita kuniambia samahani tumefanya kosa fulani ndio maana mgonjwa wako anabidi akae ICU na kila siku akawa anakuja kuniambia the word 'samahani sana aisee' hadi mgonjwa alipokufa? Sijui kwanini umeamua tu kubisha ila hadi baada ya kifo aliomba samahani, anyway probably you know better.
 
Sasa mkuu unabisha wakati ilitokea hivyo na Dr akaniita kuniambia samahani tumefanya kosa fulani ndio maana mgonjwa wako anabidi akae ICU na kila siku akawa anakuja kuniambia the word 'samahani sana aisee' hadi mgonjwa alipokufa? Sijui kwanini umeamua tu kubisha ila hadi baada ya kifo aliomba samahani, anyway probably you know better.

Kaka, mimi sibishi kuhusu case ya mgonjwa wako. Kwanza pole sana kwa yaliyokukuta. Hata hivyo, unachoelezea hakiendani na taaluma ya udaktari. Inawezekana taarifa uliyopewa either hujaielewa vizuri au haikuwa sahihi. Inawezekana kilichomtokea mgonjwa wako ni zaidi ya kuchanika kibofu.
 
mjadala umefungwa kesi ipo mahakamani full stop sitaki kupata reputation tena ok. have a good day
 
Mupirocin nakuunga mikono na miguu juu ya treatment ya malaria kwa diabetic patients.Ila kunatatizo ambalo lipo kwenye hosp nyingi sana ambalo binafsi nilishawah kuona ingawa end result ilikuwa ni mauti kwa muhusika. Huyu alikuwa ni baba mdogo alipewa quinine ambayo mimi nilijua haina effect kwa mgonjwa kumbe bana walitumia dextrose badala ya normal saline yani nilichokuja kuhamaki ni mgonjwa kuanza kukoroma na ikawa ndio mwisho wake hapo.

ndipo nilipo jifunza kwamba mara nyingi sana huwa hata manesi ambao ni wasaidizi wenu huwa wamekariri baadhi ya matibabu pasi kusoma dr kaandika nini manake niliomba file la mgonjwa nisome nikakuta dr ka perescribe normal saline sijui nesi wa usiku kuona quinine akajua inaenda na dextrose akamtundikia na mwishowe mgonjwa sukari ilipanda sana . so yawezekana kwa kesi ya huyu jamaa wala kosa lisiwe la dr likawa ni la nesi ila ndo maumivu ya kufiwa yanampelekea kuona dr ndio concerned.

pia kwasisi wauguzaji pana kitu ambacho ambacho nafikiri wengi huwa hatuna nacho ni kupenda kuuliza maswali badala yake sisi huwa tunajifanya ma street Drs. kitu ambacho ni kibaya sana. Japo kuwa muda mwingine ma dr wasiokuwa na hekima ukiwauliza wanakupa msimamo wao ambao mwisho wa siku ukimuuliza mingine anakwabia hapa huyu kakosea.

Quinine inashusha sukari ndo maana inatolewa na dextrose hili usiende kwenye hypoglycaemia.kwa mgonjwa wa kisukari aliye kwenye dawa inabidi uwe mwangalifu coz unatoa quinine na dawa za sukari ambazo zote zinashusha blood sugar.........kama utatumia quinine lazima uache instruction za kumonitor blood glucose level routinely
 
Last edited by a moderator:
....sijui tatizo ni ujuzi ama nini
last months tulimpoteza shangazi wetu kwa uzembe na ujinga wa mpuuzi mmoja aitwa dk makuka
huyu dk alikuwa akimtibia na baada ya kufika akaambiwa ana kisukari kutokana na kuanza kuhangaika
kwenda kuleta vitu kama mgonjwa jioni akawa amewa direct wapuuzi wenzake manesi wamwekee
dripu ya qwinini....sasa mtu mwenye kisukari hata kama una akili gani uwezi kumwekea qwinini wakati anajua inashusha mapigo ya moyo asbh tulipofika tukaanza kulalamika akaanza kuhangaika na wapuuzi wenzake kumbadilishia dawa ...namba yake ni 0713 783048

Unajua hapa duniani watu huwa tuna utofauti mkubwa sana kwenye ku-deal na grief...wapo wanao-accept situation na kuwa strong and deal with it, wapo wanao-deny wengine wakawa weak kabisa kushindwa kufanya chochote na wengine kuamua kutafuta 'mchawi' wa kumlaumu...ili mradi kila mtu ana jinsi yake ya kudeal na loss of our loved one.


Ni fact kuwa...pamoja na advanced medical knowledge, skills na sophisticated technology...bado hatuwezi zuia binadamu kufa, at the end of the day...kama ulizaliwa, basi lazima utakufa! Inaweza kuwa kuna uzembe umechangia hicho kifo though.

Kwa hii scenario uliyoitoa BASIASI... (lets be honest) kuna possibility ya uzembe both kwenye familia yenu na hospitali (may be daktari husika).

Familia - Wagonjwa wa kisukari huwa wanapata immuno-suppression na hivyo wana risk kubwa wanapougua magonjwa ya kuambikiza kuwa severe. Shangazi alikuwa na kisukari, na alithibitika kuwa na malaria kali...hapo kuna delay kwa upande wenu kumpeleka hospitali. Japo malaria unaonekana ni ugonjwa wa kawaida, ni one of the leading killers to-date, hasa malaria kali...tena kwa mtu mzima mwenye kisukari tayari. Unapompeleka mgonjwa hospitali late, unapunguza kwa kiasi kkikubwa chances zake za kusurvive hata kama kuna daktari bingwa, vifaa bora vya uchunguzi na tiba, na dawa bora kabisa.

Hospitali/daktari - Hakuwa wrong kumpa mgonjwa huyo Quinine, wagonjwa wa kisukari hupewa Quinine (ANGALIZO: Qunine huwa inashusha sukari kwenye damu (Hypoglycaemia), na huvyo kwa kawaida hutolewa na dripu ya Dextrose 5%, lakini kwa wagonjwa wa kisukari huwezi kuwapa Dextrose, hivyo hupewa Quinine kwa dripu ya Normal Saline)...ila ilibidi daktari awe makini kumchunguza mgonjwa kama hana upungufu wa damu, kwani dripu akipewa mtu mwenye upungufu wa damu yaweza sababisha moyo wake kushindwa fanya kazi (Heart Failure). Na malaria huwa inasababisha upungufu wa damu.

Daktari alikuwa na option ya kutumia IM Artemether au IV Artesunate hambazo haziitaji drip wala hazina effect kwenye sukari....availability? Sitegemei HKM Hospital kutokuwa nayo.

Inawezekana Shangazi alipata Heart Failure ndio maana mapigo yakashuka baada ya dripu, hawakupaswa kumuongezea dripu nyingine bali kumpatia dawa ya kupunguza maji (mfano Lasix)...lakini sijui kama ndicho kilichotokea. Ila najua kuwa HKM Hospital wanaweza tibu Heart Failure, niliwahi kumpeleka mama yangu mzazi hapo akatibiwa Heart Failure wakati wa mgomo wa madaktari Muhimbili.

Sijafurahia the way umelaumu mtu mmoja...Daktari kwa kifo cha shangazi kana kwamba yuko directly linked na hicho kifo without a doubt! Lakini naelewa hiyo jni njia mojawapo ya kudeal na loss/grief...so sitakulaumu.
 
Unajua hapa duniani watu huwa tuna utofauti mkubwa sana kwenye ku-deal na grief...wapo wanao-accept situation na kuwa strong and deal with it, wapo wanao-deny wengine wakawa weak kabisa kushindwa kufanya chochote na wengine kuamua kutafuta 'mchawi' wa kumlaumu...ili mradi kila mtu ana jinsi yake ya kudeal na loss of our loved one.


Ni fact kuwa...pamoja na advanced medical knowledge, skills na sophisticated technology...bado hatuwezi zuia binadamu kufa, at the end of the day...kama ulizaliwa, basi lazima utakufa! Inaweza kuwa kuna uzembe umechangia hicho kifo though.

Kwa hii scenario uliyoitoa BASIASI... (lets be honest) kuna possibility ya uzembe both kwenye familia yenu na hospitali (may be daktari husika).

Familia - Wagonjwa wa kisukari huwa wanapata immuno-suppression na hivyo wana risk kubwa wanapougua magonjwa ya kuambikiza kuwa severe. Shangazi alikuwa na kisukari, na alithibitika kuwa na malaria kali...hapo kuna delay kwa upande wenu kumpeleka hospitali. Japo malaria unaonekana ni ugonjwa wa kawaida, ni one of the leading killers to-date, hasa malaria kali...tena kwa mtu mzima mwenye kisukari tayari. Unapompeleka mgonjwa hospitali late, unapunguza kwa kiasi kkikubwa chances zake za kusurvive hata kama kuna daktari bingwa, vifaa bora vya uchunguzi na tiba, na dawa bora kabisa.

Hospitali/daktari - Hakuwa wrong kumpa mgonjwa huyo Quinine, wagonjwa wa kisukari hupewa Quinine (ANGALIZO: Qunine huwa inashusha sukari kwenye damu (Hypoglycaemia), na huvyo kwa kawaida hutolewa na dripu ya Dextrose 5%, lakini kwa wagonjwa wa kisukari huwezi kuwapa Dextrose, hivyo hupewa Quinine kwa dripu ya Normal Saline)...ila ilibidi daktari awe makini kumchunguza mgonjwa kama hana upungufu wa damu, kwani dripu akipewa mtu mwenye upungufu wa damu yaweza sababisha moyo wake kushindwa fanya kazi (Heart Failure). Na malaria huwa inasababisha upungufu wa damu.

Daktari alikuwa na option ya kutumia IM Artemether au IV Artesunate hambazo haziitaji drip wala hazina effect kwenye sukari....availability? Sitegemei HKM Hospital kutokuwa nayo.

Inawezekana Shangazi alipata Heart Failure ndio maana mapigo yakashuka baada ya dripu, hawakupaswa kumuongezea dripu nyingine bali kumpatia dawa ya kupunguza maji (mfano Lasix)...lakini sijui kama ndicho kilichotokea. Ila najua kuwa HKM Hospital wanaweza tibu Heart Failure, niliwahi kumpeleka mama yangu mzazi hapo akatibiwa Heart Failure wakati wa mgomo wa madaktari Muhimbili.

Sijafurahia the way umelaumu mtu mmoja...Daktari kwa kifo cha shangazi kana kwamba yuko directly linked na hicho kifo without a doubt! Lakini naelewa hiyo jni njia mojawapo ya kudeal na loss/grief...so sitakulaumu.

ndugu riwa kwa kweli shukurani za dhati zikufikie kwa maelezo mazuri. pole sana basiasi kwa kupoteza shangazi. ila kumbuka kua quinine haipo contraindicated kwa mtu mwenye sukari.
ki ukweli hujamtendea haki dr makuka kwa kum judge kuwa ni mzembe wakati hujui vizuri fani ya udaktari ispokua una fahamu fahamu kwa juu juu tu kuhusu quinine. umefikia pabaya zaidi kwa kuona kua quinine si dawa tena bali ni sababu vifo na ukiskia tu mtu kaandikiwa quinine unaona atakufa. quinine bado itabaki kuwa chaguo zuri kwa malaria kali na usje ukaikataa ukija kumwa alaf ukaandikiwa hiyo dawa coz itakuponya.alaf ktk vitu ambavyo sio fani yako usivifanyie conclusion.
umemuweka dr makuka namba yake ya sim na uka mdisqualify ki taaluma bila vigezo vyovyote vya maana.ume iponda kabisa hospitali ya kairuki mpk muasisi wake.kwakwei hujafanya vizuri.
kama utaona inafaa basias waombe msamaha wote ulio wachafua. huwezi jua, usitukane mamba wakati hujavuka mto. ila pole sana sana kwa kumpoteza shangazi.pole sana na zaidi ya sana.tumuombee kwa mungu ailaze roho yake mahala pema.
 
Hii story imeandikwa kwa chuki zaidi, afu huyu relative anaonekana ni miongoni mwa relatives ambao ni much know kumbe anachozungumza hata yeye hajui.
Mimi ni Dr professionally naomba ndugu BASIAS aniambie wapi imeandikwa kuwa mtu mwenye kisukari hatakiwi kupewa drip ya quinine, yawezekana hii ni shule mpya. Jamani tugoogle ili tuweke hapa evidence na siyo kupiga kelele tu vitu ambavyo hujui,
kwa hiyo kwa maelezo yake ananambia mwenye kisukari akiwa na severe malaria tumuache tu afe coz National guide line inazo dawa tatu tu kwaajili ya rx ya malaria, for Uncomplicated malaria tunatumia ALU, SEVERE tunatumia QUININE, wakati ARTEMETHER INJECTION is reserved when quinine fails. Sasa naomba atoe huyu bibi yake alitaka apewe dawa gani kwa treatment(rx) ya malaria?
Tuache chuki binafsi afu tunapokuwa hospital tuache umachi know coz huu huwa unasasabisha wagonjwa kufa, mimi mtu kama wewe nakuita na kukusainisha kwenye faili la ndugu yako ili uondoke naye umpeleke kule unakofikiri watavumilia kelele zako. Ninacho jua kwa mtu diabetic quinine huchanganywa kwenye normal saline rather than dextrose ambayo hutumika kwa non diabetic.
Let be great thinkers rather than giving out smoke like this. Am disappointed with you.
kijana sina chuki binafsi na mtu sina hospital ya kusema naandika kwa ajili yako wewe na familia yako uje kwangu nikutibie nasema hvi ikusaidie wewe na familia yako badala ya kuja na rip rip ambazo tunaweza kuziepusha
kama umesoma vizuri nenda kamuulize huyo dk niliekuandikia kwa nini ilipofika asbh akaambiwa mapigo ya moyo yako chini na hilo lilianza toka usiku akaelezwa akawa katili kureact..iweje asb akambadilishia dawa kama unahisi qwinini ilikuwa sawa kamuulize huyo dk wako kwa nini alibadilisha.....
Muwe na akili maneno yenu yataendelea kuuwa watanzania mamillion sipendi kusema uko ccm lakini manen haya si ya kwanza pale wakuu wa mikoa wanapotangaza watu wanakufa kwa njaa na huku serikali tena kupitia BBC kwamba akuna aliekufa sababu ya njaa
Naomba muwe makini akuna anaependa kupoteza anaempenda na ndio maana tunatoa tahadhari kwa hili na si hospt hii hata zingine zimekuwa zikiaribu tunaweka hadharani kwa msaada wa Mungu
 
ndugu riwa kwa kweli shukurani za dhati zikufikie kwa maelezo mazuri. Pole sana basiasi kwa kupoteza shangazi. Ila kumbuka kua quinine haipo contraindicated kwa mtu mwenye sukari.
Ki ukweli hujamtendea haki dr makuka kwa kum judge kuwa ni mzembe wakati hujui vizuri fani ya udaktari ispokua una fahamu fahamu kwa juu juu tu kuhusu quinine. Umefikia pabaya zaidi kwa kuona kua quinine si dawa tena bali ni sababu vifo na ukiskia tu mtu kaandikiwa quinine unaona atakufa. Quinine bado itabaki kuwa chaguo zuri kwa malaria kali na usje ukaikataa ukija kumwa alaf ukaandikiwa hiyo dawa coz itakuponya.alaf ktk vitu ambavyo sio fani yako usivifanyie conclusion.
Umemuweka dr makuka namba yake ya sim na uka mdisqualify ki taaluma bila vigezo vyovyote vya maana.ume iponda kabisa hospitali ya kairuki mpk muasisi wake.kwakwei hujafanya vizuri.
Kama utaona inafaa basias waombe msamaha wote ulio wachafua. Huwezi jua, usitukane mamba wakati hujavuka mto. Ila pole sana sana kwa kumpoteza shangazi.pole sana na zaidi ya sana.tumuombee kwa mungu ailaze roho yake mahala pema.
mkuu cipro
ni kweli swala la kwinini na kisukari yawezekana alikuwa na tatizo ila tatizo kama umeliona na kusoma vizuri m sina ujuzi kuhusu dawa ila mgonjwa alipopewa kwinini na baadae pressure ikapanda na alipopigiwa kwamba mgonjwa hali imebadilika tukaomba wambadilishie dawa akawa katili badalayake wakampa ya ku dilute sijui inaitwaje..then akapigiwa tena hali ilivyokuwa mbaya ndipo akawaambia wampe dawa zingine za malaria wakambadilishia drip nafikiri ......uzembe uliopo ni quick reaction pale mgonjwa anapozidiwa na dk kujulishwa na kufkifiri nini cha kufanya badaala ya kusubiri mpaka mgonjwa azidiwe hoi ndio mtu unamwona hospitalini huu ni upuuzi samahani kwa mad k wengine nadhan hata kama kuna matatizo ya maisha kila mtu aanalipata hili ..tujitahidi kubadilka
 
sasa mkuu unabisha wakati ilitokea hivyo na dr akaniita kuniambia samahani tumefanya kosa fulani ndio maana mgonjwa wako anabidi akae icu na kila siku akawa anakuja kuniambia the word 'samahani sana aisee' hadi mgonjwa alipokufa? Sijui kwanini umeamua tu kubisha ila hadi baada ya kifo aliomba samahani, anyway probably you know better.

mkuu kambaku
msiba mzito pale unapokukuta so hata huyo alieandika we subiri akutane na msiba wa uzembe ..tutakuja kumkumbusha haya naomba umalize tusahau tuliowapenda
 
mkuu cipro
ni kweli swala la kwinini na kisukari yawezekana alikuwa na tatizo ila tatizo kama umeliona na kusoma vizuri m sina ujuzi kuhusu dawa ila mgonjwa alipopewa kwinini na baadae pressure ikapanda na alipopigiwa kwamba mgonjwa hali imebadilika tukaomba wambadilishie dawa akawa katili badalayake wakampa ya ku dilute sijui inaitwaje..then akapigiwa tena hali ilivyokuwa mbaya ndipo akawaambia wampe dawa zingine za malaria wakambadilishia drip nafikiri ......uzembe uliopo ni quick reaction pale mgonjwa anapozidiwa na dk kujulishwa na kufkifiri nini cha kufanya badaala ya kusubiri mpaka mgonjwa azidiwe hoi ndio mtu unamwona hospitalini huu ni upuuzi samahani kwa mad k wengine nadhan hata kama kuna matatizo ya maisha kila mtu aanalipata hili ..tujitahidi kubadilka
Kwa kweli upo uzembe kwa baadhi ya madaktari na si hapo Kairuki tu, hata TMJ, Aga Khan nk. Mimi ni pia ni muhanga wa uzembe wa madaktari hiyo nakuelewa sana unachokisema/unachokilalamikia. Madaktari wengine hawapo makini kabisa na kazi yao kiasi kwamba hata ambaye huna taaluma ya kitabibu unaweza kuona makosa wanayofanya kirahisi tu. Ni vema tunapokuwa na wagonjwa ama wenyewe tunapokuwa wagonjwa kuwa makini sana na aina ya matibabu/huduma inayotolewa na hasa katika hizi hospitali za binafsi ambazo pesa inawekwa mbele sana.
 
Mkuu wwangu nipo kwa sasa. Nilikuwa sayari za mbali ndo kwanza nimetia timu. naona Bongo inazidi kuchafuka Kitaaluma na Kisiasa . . . . sijui tumebakiwa na nini sasa.

Bora urudi sayari za mbali maana watu wote wenye kujiita superman huishia vibaya, funua takwimu uone
 
KISHOKA_ZUMBU POST #9
Mafunzo na ajira nyingi za manesi ni za "mtoto wangu hana kazi mchomekechomeke hata kwenye unesi". Kazi ya unesi ni wito zaidi hasa ukizingatia sehemu kubwa ya matibabu inahitaji ufariji kwa mgonjwa na kujali. Siku za nyuma unaweza kumwacha mgonjwa wako amelazwa hospitali na akahudumiwa vizuri, siku hizi unaogopa kuondoka na kumuacha mgonjwa bila ndugu wa karibu, sijui nisemeje lakini inasikitisha! Tulikuwa tunasema walimu wakali lakini siku hizi manesi ndio wakali zaidi hata ukitaka kumweleza jambo inabidi ujipange vinginevyo.....simaanishi manesi wote
 
Kaka ninakuunga mkono asilimia mia, hiyo sio hospitali aisee ni chinjio.

Wameniulia wife pale kwa uzembe wa kijinga sana, eti wakati wa opersheni ya uzazi wakakosea wakachana kibofu na kushindwa kurepea, na kuishia kuniambia samahani! Sitaki hata kukumbuka.

Tena huyo aliefanya ujinga huo ndio Gyna wao na mmiliki, DR Clementina!

Noo way..thats so sad. Mbona wauaji hao jamani? Hizo shule wanazoenda ziangaliwe mfumo wake tena..Mhhh!
 
Mh. yule dr. namfahamu saaana. aliwahi kunipa dawa ambazo ziliongeza mapigo ya moyo kwa kiasi kikubwa, na nilipoenda hosp. nyingine kwa case hiyohiyo mwenzake alimshangaa saana kwa kuandika dawa kama hizo. hivi majuzi tu nilikuwa pale kwa matibabu ya kisukari ambayo ilikuwa ni mara ya kwanza kupatikana nayo, alinilaza kwa siku 3 kwa case hiyo, sukari ilikuwa haishuki inavyotakiwa , mwisho aliniambia atanichoma insulin. hapo nilimgomea nikamwambia aniruhusu . nilipofika nyumbani nikabadilisha aina ya ulaji kwa wiki moja sukari ikwa normal kabisa dawa zake niliacha kumeza siku nyingi. kwa ujumla huyo dk. sina imani naye kabisa. kwahiyo thread hii inamaanisha kabisa pengine vifo vingi anasababisha yeye.
 
Kwani huyu Dr huwa anapita huku JF great thinkers? Kama sio ujumbe unamfikiaje? Kama vipi atwangiwe coz naona namba yake kwa mtoa mada hapo juu. Mbaya kweli. Cv yake aliyonayo
 
Mh. yule dr. namfahamu saaana. aliwahi kunipa dawa ambazo ziliongeza mapigo ya moyo kwa kiasi kikubwa, na nilipoenda hosp. nyingine kwa case hiyohiyo mwenzake alimshangaa saana kwa kuandika dawa kama hizo. hivi majuzi tu nilikuwa pale kwa matibabu ya kisukari ambayo ilikuwa ni mara ya kwanza kupatikana nayo, alinilaza kwa siku 3 kwa case hiyo, sukari ilikuwa haishuki inavyotakiwa , mwisho aliniambia atanichoma insulin. hapo nilimgomea nikamwambia aniruhusu . nilipofika nyumbani nikabadilisha aina ya ulaji kwa wiki moja sukari ikwa normal kabisa dawa zake niliacha kumeza siku nyingi. kwa ujumla huyo dk. sina imani naye kabisa. kwahiyo thread hii inamaanisha kabisa pengine vifo vingi anasababisha yeye.
Kumbe tuhuma hizi ni za kweli? Huyo daktari ajirekebishe nadhani hata kama hapiti hapa watu wake wa karibu watakuwa wamepita na watamfikishia ujumbe.
 
Back
Top Bottom