Horned Melon(Kiwano) tunda la biashara na biashara, ila hatujui

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,915
Horned Melon au Kiwano ni tunda ambalo asili yake hasa ni Africa, ingawa kwa sasa limesambaaa sana Dunia nzima ila mbegu zake walichukua Africa, Horned Melon inalimwa sana Asia, huko Australia na kwingineko ja wana Expoet kupeleka Ulata.

Horned Melon bei yake sio haba, ni tunda ghari kwa wenzetu wa huko Ulata.

Turudi Tanzania, Hili tunda lipo huko mashambani na some time tulikuwa tunayala sana mashambani huko, ni tunda ambalo sio tamu kama sukari ila ni tunda ambalo inaaminika lina tiba haswa, na kupendwa kwake na kuuzwa kwake ni kwa sababu hio ya tiba zake.

Hilo tunda ni Biashara linaweza limwa kibiashara sema ndio kama vile sasa tumejikita na tradinional crops pekee na oua nina uhakika asilimia 99 hatujui kama hili tunda ni biashara kubwa huko Duniani.

South Africa wanalima na ku export haya matunda kwenda Ulaya huko.
FB_IMG_1694838775074.jpg
FB_IMG_1694838771189.jpg
 
Horned Melon au Kiwano ni tunda ambalo asili yake hasa ni Africa, ingawa kwa sasa limesambaaa sana Dunia nzima ila mbegu zake walichukua Africa, Horned Melon inalimwa sana Asia, huko Australia na kwingineko ja wana Expoet kupeleka Ulata.

Horned Melon bei yake sio haba, ni tunda ghari kwa wenzetu wa huko Ulata.

Turudi Tanzania, Hili tunda lipo huko mashambani na some time tulikuwa tunayala sana mashambani huko, ni tunda ambalo sio tamu kama sukari ila ni tunda ambalo inaaminika lina tiba haswa, na kupendwa kwake na kuuzwa kwake ni kwa sababu hio ya tiba zake.

Hilo tunda ni Biashara linaweza limwa kibiashara sema ndio kama vile sasa tumejikita na tradinional crops pekee na oua nina uhakika asilimia 99 hatujui kama hili tunda ni biashara kubwa huko Duniani.

South Africa wanalima na ku export haya matunda kwenda Ulaya huko.View attachment 2750717View attachment 2750718
Mkuu mbona hili linafanana na yale matango sumu yanayo liwa na nyika ambayo hutambaa kwenye miti ya miiba?
Au takuwa nimekosea?
 
Mkuu mbona hili linafanana na yale matango sumu yanayo liwa na nyika ambayo hutambaa kwenye miti ya miiba?
Au takuwa nimekosea?
Una uhakika ni sumu mkuu? Binafisi nisha wahi yala, ila ukisema ni sumu sidhani.

Haya ni yana asili ya Africa na ni biashara
 
Horned Melon au Kiwano ni tunda ambalo asili yake hasa ni Africa, ingawa kwa sasa limesambaaa sana Dunia nzima ila mbegu zake walichukua Africa, Horned Melon inalimwa sana Asia, huko Australia na kwingineko ja wana Expoet kupeleka Ulata.

Horned Melon bei yake sio haba, ni tunda ghari kwa wenzetu wa huko Ulata.

Turudi Tanzania, Hili tunda lipo huko mashambani na some time tulikuwa tunayala sana mashambani huko, ni tunda ambalo sio tamu kama sukari ila ni tunda ambalo inaaminika lina tiba haswa, na kupendwa kwake na kuuzwa kwake ni kwa sababu hio ya tiba zake.

Hilo tunda ni Biashara linaweza limwa kibiashara sema ndio kama vile sasa tumejikita na tradinional crops pekee na oua nina uhakika asilimia 99 hatujui kama hili tunda ni biashara kubwa huko Duniani.

South Africa wanalima na ku export haya matunda kwenda Ulaya huko.View attachment 2750717View attachment 2750718
Tini hizi?
 
Mkuu mbona hili linafanana na yale matango sumu yanayo liwa na nyika ambayo hutambaa kwenye miti ya miiba?
Au takuwa nimekosea?
Ndio hayo hayo nakumbuka niliwahi pigwa na njaa mbaya sana porini huko ya siku tatu nikayakuta hayo madude nikala Mungu fundi mana yalikua machungu na mabaya sijaona nikajua hiki kifo ila nilisurvive sema mdomo uliharibika kama wiki nzima
 
Ndio hayo hayo nakumbuka niliwahi pigwa na njaa mbaya sana porini huko ya siku tatu nikayakuta hayo madude nikala Mungu fundi mana yalikua machungu na mabaya sijaona nikajua hiki kifo ila nilisurvive sema mdomo uliharibika kama wiki nzima
Sawa kabisa yakiwa huku kanda ya kati ni zaidi ya alovera ladha yake hayaliki lakin kwa sehemu kama Iringa, Mbeya, Kagera kauchungu kanapungua
 
Back
Top Bottom