Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Kama pongezi zangu zitawaudhi watu falni basi ni juu yao but Napenda sana kutoa pongezi zangu binafsi kwa jinsi Radio hii ilivyo na vipindi makini na kuhoji watu makini na kupata habari makini bila upendeleo wowote.
Nilitegemea sana kama ilivyo kwa wengi kuwa, kwa kuwa na RADIO ya Kidini basi muda woote ingekuwa ikizungumzia dini tuuuuu na biblia au na Ukristo, la hasha, radio hii imekua chanzo kikuu ( kwa upande wangu) kunipataia habari ambazo hua naridhika sana nazo.
Hongereni kwa jinsi mlivyoripoti kuhusu Uchanguzi Mkuu, hongereni sana sana kwa jinsi mlivyowasaidia Waathirika wa mabomu ya Gongo la Mboto ( Hakika mliwaunganisha wengi regardless ya dini zao) Hongereni pia kwa kipindi chenu cha PataPata na kile cha jioni pia ambacho mnahakikisha kabla ya kurusha habari hiyo inakuwa imethibitishwa na mamlaka husika.
Ni mengi mliyoyafanya, hongereni, naomba na ile redio ya kulaumu tuuuuuu ijaribu kuiga mfano wa radio kama hizi, hongereni tena, Kwa wale walioko Dar ni 98.0 Fm
Nilitegemea sana kama ilivyo kwa wengi kuwa, kwa kuwa na RADIO ya Kidini basi muda woote ingekuwa ikizungumzia dini tuuuuu na biblia au na Ukristo, la hasha, radio hii imekua chanzo kikuu ( kwa upande wangu) kunipataia habari ambazo hua naridhika sana nazo.
Hongereni kwa jinsi mlivyoripoti kuhusu Uchanguzi Mkuu, hongereni sana sana kwa jinsi mlivyowasaidia Waathirika wa mabomu ya Gongo la Mboto ( Hakika mliwaunganisha wengi regardless ya dini zao) Hongereni pia kwa kipindi chenu cha PataPata na kile cha jioni pia ambacho mnahakikisha kabla ya kurusha habari hiyo inakuwa imethibitishwa na mamlaka husika.
Ni mengi mliyoyafanya, hongereni, naomba na ile redio ya kulaumu tuuuuuu ijaribu kuiga mfano wa radio kama hizi, hongereni tena, Kwa wale walioko Dar ni 98.0 Fm