Jamesmkude
Member
- May 18, 2015
- 60
- 69
Tanzania ya viwanda,imegeuka ya kuwabana wapinzani na wanahabari,nitafutie uraia MK254Unaposema taifa liwe la viwanda, unaonyesha kwa mikakati na matendo, sio kukomoana kwa maneno mengi, mikwara na hamaki kila uchao.
Naona kama haya maneno yana uchochezi hivi.....Au unataka kumjaribu nanihii ....?Unaposema taifa liwe la viwanda, unaonyesha kwa mikakati na matendo, sio kukomoana kwa maneno mengi, mikwara na hamaki kila uchao.
Kenyatta ana muda gani wa kuwa rais magufuli ana kwenya urais na ewekezaji wa viwanda upo wa aina nyingi sio lazima tufanane
Mkuu hivi utaratibu wa kubadili uraia ili niwe raia wa Kenya ukoje, nimechoka kuwa mtanzania
Mkuu itabidi nioe totoz ya Kenya ili niwe mkenya, tufyatue watoto
Sio lazima. Unaweza fanya citizenship through residence.Mkuu itabidi nioe totoz ya Kenya ili niwe mkenya, tufyatue watoto
HahahahahahaSio lazima. Unaweza fanya citizenship through residence.
Lakini kama jambo hilo ndilo kipendacho moyo, afadhali uwaendee wale wa nyumbani. Hawa wa miji za Nairobi, Mombasa, Kisumu, Nakuru, nk, watakupora mali.
Mkuu hivi utaratibu wa kubadili uraia ili niwe raia wa Kenya ukoje, nimechoka kuwa mtanzania
Umechochea,,,Unaposema taifa liwe la viwanda, unaonyesha kwa mikakati na matendo, sio kukomoana kwa maneno mengi, mikwara na hamaki kila uchao.