ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
Napenda kuwapongeza Tanesco songea kwa kuboresha huduma ya umeme mjini hapa kwa kipindi cha miezi minne mfululizo umeme si tatizo tena, hakuna mgao na kama kuna tatizo taarifa hutolewa na huwa kama taarfa ilivyosema. Lakini hawa jamaa wa maji wanajiita Sowasa maji hakuna na taarifa hakuna cha kushangaza bili zipo palepale ilihali maeneo kama ya majengo hakuna maji kwa miezi miwili sasa hakuna maji sasa lakini bili ni zilezile tatizo ni nini?.