Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,831
Missile of the Nation,
Wavaa kaunda suti hawausiki kwenye zoezi
Wavaa kaunda suti hawausiki kwenye zoezi
Sasa kwa mfano wakagundua id moja imesajili line 10 katika mikoa 8 tofauti watamjuaje origianal?Ili kuondoa utata huu ni bora TCRA waje na mfumo mwingne wa maulizo ya ID ya mtu moja #ime tumika ktk usajili wa simcard ngapi ili kugundua kama kuna usajiri fake ambao umefanywa na ID husika bila ya mtu huyo kuhusika
Na finger print walizochuku ziko kwa dustbin ikulu ndogo Chattle sio ?Ile ilikua promotion tu Mzee usiamini kila unachokiona ile line saa hizi ipo kwenye dustbin ikulu ndogo chato
Sent using Jamii Forums mobile app
Allishatangaza waziri Kamwele, Ni suaala la muda tu. Lazima watawarudia tu Serikali yatoa neno kila mtu laini moja ya simuMbona nmesajili laini mbili mtandao mmoja ?
Sidhani kama inahitaji barua..,sikuambiw nilete chochote zaidi ya ID ya NIDA
Wavaa kaunda suti hawausiki kwenye zoezi
Rekebisha sehemu kwenye andiko lako. Kwa maelezo ya NIDA wenyewe,, vitambulisho vya NIDA havitolewi kwa RAIA tu bali kwa kila mtu anayeishi Tanzania kihalali.Nafikiri taarifa hizi zinafikirisha kweli ingawa mimi siamini kuwa TCRA wameiacha system porous kiasi cha kufanyiwa ujanja na wanaosajili hizi laini. Ukweli ni kwamba hii haraka ya kuwatambua raia na kuwapa namba naitilia shaka kiasi kwamba ni rahisi kuwapa uraia watu wasiostahili. Pale mwanzo kulikuwa na mchakato bora sana wa kumfanyia vetting mlengwa uliohusisha watu wa uhamiaji, lakini kinachoendelea sasa huku mitaani yaelekea ni kwa ajili ya kusajili laini za simu tu na si kutambua yupi ni raia anayestahili ID na yupi sio.
Hata hivyo ni wajibu wa NIDA kuutolea maelezo kitaalamu kila wasi wasi wa wadau juu ya uwezekano wa mfumo kuingiliwa na kusajili line nyingi kwa taarifa za mtu mmoja, kwani kama hii inaweza kutokea basi itakuwa hatari sana na zoezi zima likawa halina maana. Yawezekana ni wasi wasi tu wa wadau lakini ni vizuri TCRA na NIDA wakatuhakikishia raia sisi mambumbu wa taaluma ya Tehama usalama wa mfumo wetu. Huku mitaani ni vululu vululu kwani kuna maeneo watu wanalipisha kusajili line kama mdau alivyodai line iliyosajiliwa inauzwa elfu tatu.
Mkuu kikubwa chukua tahadhari, kwa mfano wakakuambia tuonyeshe huyo uliemsajilia line alafu ukamtuma mbinga akaibe benki yupo wapi manake kila kitu ni chako kuanzia majina, finga printi, tarehe na mwezi uliozaliwa hadi mwaka, then uulizwe useme humjui? Hapo ndo utaposhangaa na roho yakoSs wakikukamata finger print zitamatch wewe wa Dar na za tukio lililopo Mbinga?..
WatafutaKwani watakaowaajiri huko mbeleni Fingerprints zao si zitaendelea kuwa kwenye servers za makampuni binafsi yanayochukua hizo fingerprints leo?.
Huo ni uongo Mkubwa taharifa zote za usajili huwa zina tumwa online moja kwa moja kwenda TCRA hasa hiyo backup inafnyika je?
Sio kweli mkuu, wengi wakipoteza line hawaendi kurenew wanaona shida kwenda polisi, wanachofanya ni kusajili line mpya kwa id ile ile na wapo hewani kama kawaNjia sahihi ni kupunguza makampuni ya Simu za mkononi mfano sasa Tigo wamemnunu Zantel na kuipunguzi hiyo moja, Voda wawanunue Halotel na TTCL wawanunue Airtel, zibakie kampuni 3 chache za simu kama Uganda, kenya, South Africa, China, America na ulaya ambapo hakuna utitiri wa makampuni ya Simu za mikononi itasaidia kuwadhibiti watumiaji wa simu, kuliko kubuni Mbinu zingine zisizo na Tija kwa Taifa.
Mkuu huna unachokijua niamini mimiHuo ni uongo Mkubwa taharifa zote za usajili huwa zina tumwa online moja kwa moja kwenda TCRA hasa hiyo backup inafnyika je?
Watu hawawazi mbali kwa mfano Leo TISS wamenirecruit baada ya kusajili line kwa finger print,Kwani watakaowaajiri huko mbeleni Fingerprints zao si zitaendelea kuwa kwenye servers za makampuni binafsi yanayochukua hizo fingerprints leo?.
Naomba nipe Full suti ya ufanyaji backup ktk huo mchakato tuanze hapoMkuu huna unachokijua niamini mimi
Nyie watu hata hamfikirii.... Kwa hiyo ukirudia kuweka fingerprint kwenye kile kidude unasajili mara ya pili.. ? Inamaanisha laini zinakuwa mbili mamba moja...Na vipi zote zikiwa hewani.... Ww ni Muongo.[QUOTE="Private investigator, post: 33925226, member: 116521"
Ninazo line mbili mtandao mmoja na hakuna process yoyote nimefata.
Acha uzuzu