Hamisi Kigwangalla: Nimeambiwa nafuatiliwa, ila naamini niko salama

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,194
4,116
Nimeambiwa kuwa nafuatiliwa - sijui kwa lengo gani, lakini naamini niko salama. Mnaoniuliza msiwe na shaka. Kama nikiitwa TAKUKURU, Tume ya maadili, polisi n.k. siyo mambo ya ajabu, huko ni mahala salama. Watu wangu wa karibu wamekuwa wakipewa vitisho na watu ambao hawawezi kuwataja kuwa nafuatiliwa.

Nimekuwa nikishangaa na kushtuka, maana sina uadui na mtu, na sikutaja mtu. Kujaribu kuninyamazisha haitosaidia kitu maana kama unahisi mimi najua kitu, ambacho sijakisema, jua na wengine wanajua!

Kama umeficha vizuri, hakuna litakalokupata, maana TAKUKURU ama sekretariet ya maadili watataka ushahidi usio na shaka kabla ya kukupeleka kortini. Na siku zote ushahidi hautopatikana, na hivyo kama Jamhuri hatutokupata! Kama wewe ni kiongozi, jiulize tu ukishaiba mali nyingi sana ya umma unasikia raha gani? Utapeleka wapi? Utatumia zote hizo? Utazikwa nazo?

Halafu jiulize, mwenye kosa ni anayetoboa mtumbwi ama anayepiga yowe na kumsonteshea mtoboaji ili wasafiri wote tushtuke? Tumdhibiti?

Kushtuka shtuka namna hii inaonesha watu wanajishuku. Kunifuatilia na kutafuta kunitisha tisha mtanifanya nichambue hadharani taarifa za CAG, za TAKUKURU na michango ya wabunge bungeni nk. Humo kuna viashiria vingi sana vya rushwa na ubadhirifu, je kama Taifa mifumo yetu ya uwajibikaji imefanya kazi ipasavyo?

Nilipozungumza juu ya uwepo wa haja ya kuimarisha mifumo ya uwajibikaji na usimamizi wa mali ya umma, sikuwa na nia ya kumtaja mtu yeyote. Nilipenda kutoa maoni yangu tu juu ya haja ya kuimarisha mifumo/taasisi za uwajibikaji kama Taifa; aidha mifumo/taasisi za kifedha, na mifumo/taasisi za kisiasa. Kama hujaitazama ile interview, nenda kaitazame.

1705660225581.png
 
Nimeambiwa kuwa nafuatiliwa - sijui kwa lengo gani, lakini naamini niko salama. Mnaoniuliza msiwe na shaka. Kama nikiitwa TAKUKURU, Tume ya maadili, polisi n.k. siyo mambo ya ajabu, huko ni mahala salama. Watu wangu wa karibu wamekuwa wakipewa vitisho na watu ambao hawawezi kuwataja kuwa nafuatiliwa.

Nimekuwa nikishangaa na kushtuka, maana sina uadui na mtu, na sikutaja mtu. Kujaribu kuninyamazisha haitosaidia kitu maana kama unahisi mimi najua kitu, ambacho sijakisema, jua na wengine wanajua!

Kama umeficha vizuri, hakuna litakalokupata, maana TAKUKURU ama sekretariet ya maadili watataka ushahidi usio na shaka kabla ya kukupeleka kortini. Na siku zote ushahidi hautopatikana, na hivyo kama Jamhuri hatutokupata! Kama wewe ni kiongozi, jiulize tu ukishaiba mali nyingi sana ya umma unasikia raha gani? Utapeleka wapi? Utatumia zote hizo? Utazikwa nazo?

Halafu jiulize, mwenye kosa ni anayetoboa mtumbwi ama anayepiga yowe na kumsonteshea mtoboaji ili wasafiri wote tushtuke? Tumdhibiti?

Kushtuka shtuka namna hii inaonesha watu wanajishuku. Kunifuatilia na kutafuta kunitisha tisha mtanifanya nichambue hadharani taarifa za CAG, za TAKUKURU na michango ya wabunge bungeni nk. Humo kuna viashiria vingi sana vya rushwa na ubadhirifu, je kama Taifa mifumo yetu ya uwajibikaji imefanya kazi ipasavyo?

Nilipozungumza juu ya uwepo wa haja ya kuimarisha mifumo ya uwajibikaji na usimamizi wa mali ya umma, sikuwa na nia ya kumtaja mtu yeyote. Nilipenda kutoa maoni yangu tu juu ya haja ya kuimarisha mifumo/taasisi za uwajibikaji kama Taifa; aidha mifumo/taasisi za kifedha, na mifumo/taasisi za kisiasa. Kama hujaitazama ile interview, nenda kaitazame.

View attachment 2876430
Acha iendelee kunyesha !
Ndivyo mlivyo huko Chamani huwa hamuwapendi wale wenye ujasiri wa kukosoa tena bila kutaja majina ya watu !
Namwambia Kigwangala ndivyo mlivyo huko Chamani !
Mkosoaji ni Adui !
Ngoja Tusubiri tuone !
 
Nimeambiwa kuwa nafuatiliwa - sijui kwa lengo gani, lakini naamini niko salama. Mnaoniuliza msiwe na shaka. Kama nikiitwa TAKUKURU, Tume ya maadili, polisi n.k. siyo mambo ya ajabu, huko ni mahala salama. Watu wangu wa karibu wamekuwa wakipewa vitisho na watu ambao hawawezi kuwataja kuwa nafuatiliwa.

Nimekuwa nikishangaa na kushtuka, maana sina uadui na mtu, na sikutaja mtu. Kujaribu kuninyamazisha haitosaidia kitu maana kama unahisi mimi najua kitu, ambacho sijakisema, jua na wengine wanajua!

Kama umeficha vizuri, hakuna litakalokupata, maana TAKUKURU ama sekretariet ya maadili watataka ushahidi usio na shaka kabla ya kukupeleka kortini. Na siku zote ushahidi hautopatikana, na hivyo kama Jamhuri hatutokupata! Kama wewe ni kiongozi, jiulize tu ukishaiba mali nyingi sana ya umma unasikia raha gani? Utapeleka wapi? Utatumia zote hizo? Utazikwa nazo?

Halafu jiulize, mwenye kosa ni anayetoboa mtumbwi ama anayepiga yowe na kumsonteshea mtoboaji ili wasafiri wote tushtuke? Tumdhibiti?

Kushtuka shtuka namna hii inaonesha watu wanajishuku. Kunifuatilia na kutafuta kunitisha tisha mtanifanya nichambue hadharani taarifa za CAG, za TAKUKURU na michango ya wabunge bungeni nk. Humo kuna viashiria vingi sana vya rushwa na ubadhirifu, je kama Taifa mifumo yetu ya uwajibikaji imefanya kazi ipasavyo?

Nilipozungumza juu ya uwepo wa haja ya kuimarisha mifumo ya uwajibikaji na usimamizi wa mali ya umma, sikuwa na nia ya kumtaja mtu yeyote. Nilipenda kutoa maoni yangu tu juu ya haja ya kuimarisha mifumo/taasisi za uwajibikaji kama Taifa; aidha mifumo/taasisi za kifedha, na mifumo/taasisi za kisiasa. Kama hujaitazama ile interview, nenda kaitazame.

View attachment 2876430
Hasira za kukosa teuzi ni kasheshe sana
 
Back
Top Bottom