Hongera Naibu Waziri wa Elimu kwa tamko la kudhibiti viboko mashuleni

Hizo sheria za kizungu sana...viboko vinne ndo nn..cha msingi busara ya mwalimu unahitajika kwenye hili suala.Hili suala ni la kwenda nalo makini sana maana walimu ndo watu wanaoandaa taifa la kesho....
Hivi mfano walimu wakaamua kuwaachia hao watoto wenu..yaan afanye kazi asifanye kazi, awahi shule asiwahi..etc..wakaamua kutulia tu.si patatokea mmomonyoko mkubwa sana wa maadili....
Ninalaani kupiga viboko kuliko pitiliza..lkn pia viboko lazima....busara itumike tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni bure kabisa. Hautaki viboko vilivyopitiliza lakini pia hautaki viboko vidhibitiwe. You're a fool.
IMG_20180903_000639.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ta
Tatizo mkuu hii fani watu wameidharau sana mpaka kufikia kila mmoja anataka kumfundisha mwalimu jinsi ya kufanya kazi zake. Kama wanajiona wanaweza kumfundisha mwalimu vile anavyopasa kufundisha basi wakae na watoto wao wawafundishe majumbani mwao. Kosa la mwalimu mmoja lisihukumu walimu wote. Mbona kuna madaktari wanaofanyia watu oparesheni za kichwa badala ya mguu. Sasa hapo napo walaumiwe madaktari wote?
Fuata Sheria Mwalimu.
IMG_20180903_000639.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kazi sijui wanaichukulia vipi, maana hii yote ni kwa sababu mwanafunzi amefariki na mwingine amezimia. Mbona tunaona idara zingine zinafanya kinyume na sheria mfano polisi wanapiga watu ikiwezekana kuua kabsa tena bila sababu ya msingi, madaktari kutoa matibabu yasiyo sahihi. Lakini hutosikia hawa polisi sasa wasibebe siraha au hawa madaktari wafukuzwe kazi. Ila kwa mwalimu tukia moja tu kelele nyingi kwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kazi sijui wanaichukulia vipi, maana hii yote ni kwa sababu mwanafunzi amefariki na mwingine amezimia. Mbona tunaona idara zingine zinafanya kinyume na sheria mfano polisi wanapiga watu ikiwezekana kuua kabsa tena bila sababu ya msingi, madaktari kutoa matibabu yasiyo sahihi. Lakini hutosikia hawa polisi sasa wasibebe siraha au hawa madaktari wafukuzwe kazi. Ila kwa mwalimu tukia moja tu kelele nyingi kwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hautaki kufuata utaratibu mwalimu?? Unasikitisha sana. Fuata utaratibu.
IMG_20180903_000639.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kazi sijui wanaichukulia vipi, maana hii yote ni kwa sababu mwanafunzi amefariki na mwingine amezimia. Mbona tunaona idara zingine zinafanya kinyume na sheria mfano polisi wanapiga watu ikiwezekana kuua kabsa tena bila sababu ya msingi, madaktari kutoa matibabu yasiyo sahihi. Lakini hutosikia hawa polisi sasa wasibebe siraha au hawa madaktari wafukuzwe kazi. Ila kwa mwalimu tukia moja tu kelele nyingi kwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
"ADHABU ISIYOZIDI VIBOKO VINNE ITATOLEWA NA MWALIMU MKUU, AU MWALIMU MKUU ATAWEZA KUKASIMISHA KWA UMAKINI MKUBWA MAMLAKA HAYO KWA MWALIMU WA KAWAIDA"

"KUKASIMISHA MAMLAKA YA KUCHAPA KWA UMAKINI MKUBWA".

FUATA HIYO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makosa madogo madogo ambayo walimu walikuwa wanatumia fimbo kumalizana na wanafunzi
Uchelewaji shuleni
Kutoandika notes
Kutochomekea sare
Kutofanya usafi wa mazingira
Kelele darasani
Utoro mdogo
Swahili speaker
N.K

Sasa haya yote yanahamishiwa kwenye adhabu za nje, zikiwemo
Kulima
Kuchimba shimo la taka
Kufagia
Kudeki chooni
Kufyeka
N.K
Adhabu hizi zitapoteza muda mwingi wa mtoto kutohudhuria masomo darasani. Kwa wale nundaz wasiopenda kipindi cha somo fulani, akijua muda huu ni kipindi kile nisichokipenda, anachomoa sare halafu huyoooo anajipitisha mbele ya walimu. Si anajua hatochapwa, atapewa eneo afyeke wakati kipindi kinateketea. Kama unaamini wale vibaka wa ubungo na mateja wala unga nao pia kwa nyakati tofauti waliwahi kuwa wanafunzi, gonga like kuwatia moyo walimu. Kama mwanao nunda #pelekagereji.
Hata walimu wavuta bangi wapo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni bure kabisa. Hautaki viboko vilivyopitiliza lakini pia hautaki viboko vidhibitiwe. You're a fool. View attachment 855239

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni li pumbavu kabisa.....unatumia hasira kutetea hoja zako..kunywa sumu bac ufe....Sasa unafikiri ukileta matusi na hasira ndo hoja yako itaonekana ya maana.Kama huwezi kuvumilia maoni tofauti acha kufungua uzi humu..kaa na mawazo yako kichwani..Bila shaka nyie ndo walewale ambao hamkupigwa viboko....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni li pumbavu kabisa.....unatumia hasira kutetea hoja zako..kunywa sumu bac ufe....Sasa unafikiri ukileta matusi na hasira ndo hoja yako itaonekana ya maana.Kama huwezi kuvumilia maoni tofauti acha kufungua uzi humu..kaa na mawazo yako kichwani..Bila shaka nyie ndo walewale ambao hamkupigwa viboko....

Sent using Jamii Forums mobile app
Tizama hii.
IMG_20180903_000639.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatzo lenu nadhani hamjawaelewa wana jamii forum wanachotaka mfuate sheria wakati wa kutoa adhabu , sio kujiamliaa unampiga mwanafunzi viboko kumi au zaid

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,

Hawa WAHUNI wanalilia haki yao ya kuwafanyia ukatili watoto na wanafunzi.

Ni maajabu kabisa.

Mauaji ya Sperius Eradius yawe chachu ya kuwashughulikia wahuni wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom