kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
mimi hali ya kukubaliana kati ya mhe raisi na viongozi wengine wa kisiasa kurekebisha sheria ya mchakato wa katiba.jambo hili ni jema sana lakini tukichelewa kusema katiba hii itakuwa ya wanasiasa ambao sasa wameanza kuungana pale magogoni.
hoja yangu tunataka katiba yetu itungwe na wananchi wote si wanasiasa tu(wawe na nguvu zaidi) ili kuruhusu kulenga maslahi ya wote.
maana hapa hawa wanasiasa wanaweza kuungana kimiakimia katika mambo kadhaa ambayo sisi wananchi tunataka yaingie kwenye katiba mpya.
1.si rahisi wanasiasa hawa wakakubali mgombea binafsi.
2.si rahisi ata kidogo wakakubali kutoa uhuru wa wananchi kumkataa mbunge au raisi kama atashindwa kutekeleza matakwa ya wapiga kura muda wowote bila kusubiri miaka 5 kupita.
3.pia wanasiasa hawatakubali maslahi yao kupunguzwa
4.si rahisi kuweka sheria ya kutenganisha siasa na biashara kwani wengi ni wafanyabihashara.
kimsingi sisi watanzania wa kawaidi tunamaitaji yetu na si kila wakati kusikiliza wanasiasa tu ambao ni tabaka la MATAJIRI hawajui maisha yetu huku uswahilini.
mbaya zaidi WATANZANIA WENGI WA HALI YA KATI NA CHINI HATUJITAMBUA TUMEKUWA MASHABIKI WA WANASIASA NA KUSAHAU MAISHA YETU BINAFSI KAMA WAO WANASIASA WANAVYOSUMBUKIA MAISHA YAO.
tuamka nasi wasakatonge tuinuke tudai haki zetu na kuacha kushabikia matajiri wanaotukumbuka wakati wa uchaguzi tena sasa iwe zamu yetu kuwaongoza wao,kwani haiwezekani kumpata masikini mwenzetu awe raisi au lazima atokana na hao tunaowasikia kila mara yaani mtoto wa waziri,mkuu wa mkoa,cheif au mfanyabihashara mkubwa.huu ni ukandamizaji wa kitabaka TUAMKE!.Tuachane na siasa za ushabiki wa chama bora tujijengee imani kwa mtu kama mimi ningepewe fursa ya kutengeneza katiba ningeshauri nchi iundwe kwa mfumo wa mseto.
mfano Raisi anakuwa Lowassa,Waziri mkuu Dr slaa,Waziri wa Elimu Dr Mgofuli,Waziri wa fedha Zito kabwe,Hapo tamisemi mweke Mwanri au mnyika, si nchi itaenda?,au vinginevyo mradi kuwe na mchanyangiko wa watu wenyeuwezo na kazi husika.haya makelele ya vyama yatabadilika na kuwa utandaji.huu ni mtazamo wangu tu,unaweza nawe kuwaza vingine ndiyo democrasia.
hoja yangu tunataka katiba yetu itungwe na wananchi wote si wanasiasa tu(wawe na nguvu zaidi) ili kuruhusu kulenga maslahi ya wote.
maana hapa hawa wanasiasa wanaweza kuungana kimiakimia katika mambo kadhaa ambayo sisi wananchi tunataka yaingie kwenye katiba mpya.
1.si rahisi wanasiasa hawa wakakubali mgombea binafsi.
2.si rahisi ata kidogo wakakubali kutoa uhuru wa wananchi kumkataa mbunge au raisi kama atashindwa kutekeleza matakwa ya wapiga kura muda wowote bila kusubiri miaka 5 kupita.
3.pia wanasiasa hawatakubali maslahi yao kupunguzwa
4.si rahisi kuweka sheria ya kutenganisha siasa na biashara kwani wengi ni wafanyabihashara.
kimsingi sisi watanzania wa kawaidi tunamaitaji yetu na si kila wakati kusikiliza wanasiasa tu ambao ni tabaka la MATAJIRI hawajui maisha yetu huku uswahilini.
mbaya zaidi WATANZANIA WENGI WA HALI YA KATI NA CHINI HATUJITAMBUA TUMEKUWA MASHABIKI WA WANASIASA NA KUSAHAU MAISHA YETU BINAFSI KAMA WAO WANASIASA WANAVYOSUMBUKIA MAISHA YAO.
tuamka nasi wasakatonge tuinuke tudai haki zetu na kuacha kushabikia matajiri wanaotukumbuka wakati wa uchaguzi tena sasa iwe zamu yetu kuwaongoza wao,kwani haiwezekani kumpata masikini mwenzetu awe raisi au lazima atokana na hao tunaowasikia kila mara yaani mtoto wa waziri,mkuu wa mkoa,cheif au mfanyabihashara mkubwa.huu ni ukandamizaji wa kitabaka TUAMKE!.Tuachane na siasa za ushabiki wa chama bora tujijengee imani kwa mtu kama mimi ningepewe fursa ya kutengeneza katiba ningeshauri nchi iundwe kwa mfumo wa mseto.
mfano Raisi anakuwa Lowassa,Waziri mkuu Dr slaa,Waziri wa Elimu Dr Mgofuli,Waziri wa fedha Zito kabwe,Hapo tamisemi mweke Mwanri au mnyika, si nchi itaenda?,au vinginevyo mradi kuwe na mchanyangiko wa watu wenyeuwezo na kazi husika.haya makelele ya vyama yatabadilika na kuwa utandaji.huu ni mtazamo wangu tu,unaweza nawe kuwaza vingine ndiyo democrasia.