Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Thanks Regia, that is a good start. Keep it up!!!!
si lazima ,kama Ocd halikubali mkutano uendelee basi hajavunja sheria yoyote,kama mbunge ametimiza jukumu lake la kuwasikiliza wananchi naye yu sawa. Sasa mambo ya kupelekana kwa pilato yanatoka wapi? Ebu tafakari kwanza! Alaf bill of Rights?for what and how for this issue? B constructive bwn!
Asingekuwa shujaa maana angekuwa ametii kitu ambacho hakifahamu. Angekuwa sawa na polisi ambao wanatii amri yoyote hata ile ambayo ni kinyume cha sheria. Kutotii amri uchwara imeonesha ni shujaa maana alionesha anatetea sheria. Requiescant In Pace! dada Regia!!!kwani angetii amri asingekuwa shujaa au asingekuwa mbunge? .mnashabikia ujinga humu
kwani angetii amri asingekuwa shujaa au asingekuwa mbunge? .mnashabikia ujinga humu