Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,505
- 1,139
Nachukua fursa kuwapongeza viongozi wa kisarawe kwa kazi zao nzuri. Leo nilifanikiwa kuhudhuria kongamano la wajasiriamali mali liloratibiwa na viongozi wa wilaya na NEEC .
Katika kongamano hilo la siku mbili leo na kesho mgeni rasmi alikuwa waziri jafo. Nimesikiliza semina zilizotolewa hakika inaonyesha kwamba wamejipanga sana.
Ofisi ya mkurugenzi wametoa asilimia mia ya mikopo kwa makundi maalum hakika hili linatia moyo. Nimeangalia biashara za wale wajasiriamali zina ubora na inaonekana wameanza kuamka siyo kisarawe ile iliyozoeleka.
Mimi nimefanikiwa kununua asali nimefika nyumbaninimeitumia iko vizuri sana. Kesho tena wamesema wapo kama uko karibu pitia keho uone haya ninayosema hapa.
Katika kongamano hilo la siku mbili leo na kesho mgeni rasmi alikuwa waziri jafo. Nimesikiliza semina zilizotolewa hakika inaonyesha kwamba wamejipanga sana.
Ofisi ya mkurugenzi wametoa asilimia mia ya mikopo kwa makundi maalum hakika hili linatia moyo. Nimeangalia biashara za wale wajasiriamali zina ubora na inaonekana wameanza kuamka siyo kisarawe ile iliyozoeleka.
Mimi nimefanikiwa kununua asali nimefika nyumbaninimeitumia iko vizuri sana. Kesho tena wamesema wapo kama uko karibu pitia keho uone haya ninayosema hapa.
Attachments
-
20190620_132530.jpg86.8 KB · Views: 14
-
20190620_122848.jpg116.3 KB · Views: 15
-
20190620_121647.jpg102.1 KB · Views: 14
-
20190620_121644.jpg115.9 KB · Views: 15
-
20190620_121639.jpg107.6 KB · Views: 14
-
20190620_121636.jpg169.9 KB · Views: 14
-
20190620_121631.jpg145.6 KB · Views: 13
-
20190620_121602.jpg77.3 KB · Views: 13
-
20190620_121540.jpg106.2 KB · Views: 13
-
20190620_121535_001.jpg120.2 KB · Views: 14
-
20190620_113341.jpg86.6 KB · Views: 14