Barabara zinajengwa na sugu ?
Barabara zinajengwa na sugu ?
inamaana miaka yote hiyo tangu mbeya iitwe mbeya kulikuwa hakuna misaada ya kutengeneza barabara?zinajengwa na kodi zetu na misaada/mikopo ya wazungu.
Sugu alituahidi atadeal na suala la barabara na sasa takribani barabara saba hapa jjn mbeya ziko katika matengeneneza katika kiwango cha rami. Mpesya(mbunge wa zamani wa ccm) ilikuwa ni kitendawili kwake.
Natamani nikutane na sugu nimkumbushe mistri yake ya zamani,,, 1. Dini na siasa sasa ni kama biashara vipi baada ya kesho?Sugu moto chini aaaaaaaa
Ughonile!!!! Utwambombo!!! Mbeya inayowakilishwa na Sugu sio ile ya miaka miwili iliyopita. Pale Mbeya kuna mhafidhina mmoja anaitwa Athanas Kapunga mkabila sana na mpika Majungu ni Katibu Mwenezi wa CCM na ni ndie Meya wa Jiji. Kazi yake kubwa ni kumpiga vita Mkurugenzi wa Jiji kwa sababu hana ubaguzi kwa Wapinzani. Mbeya ya sasa imeboreshwa sana walau ina hadhi ya kuitwa Jiji. Moto wa Sugu na madiwani wa Upinzani wamefanya kazi kubwa sana. Ndagha fijo Malafyale Sugu!!Dar es Salaam zinjengwa hayuko Sugu, Dodoma zinajengwa hayuko Sugu, Arusha .................
Ni mpango wa WB kuboresha miji mtoa uzi usidanganyike. Pia lazima ujenzi uwemo kwenye bajeti ya mwaka wafedha na sio vinginevyo. Sugu anatetea haki za wasanii.
Barabara zinajengwa na sugu ?
Dar es Salaam zinjengwa hayuko Sugu, Dodoma zinajengwa hayuko Sugu, Arusha .................
Ni mpango wa WB kuboresha miji mtoa uzi usidanganyike. Pia lazima ujenzi uwemo kwenye bajeti ya mwaka wafedha na sio vinginevyo. Sugu anatetea haki za wasanii.
Dar es Salaam zinjengwa hayuko Sugu, Dodoma zinajengwa hayuko Sugu, Arusha .................
Ni mpango wa WB kuboresha miji mtoa uzi usidanganyike. Pia lazima ujenzi uwemo kwenye bajeti ya mwaka wafedha na sio vinginevyo. Sugu anatetea haki za wasanii.