Mwakani ndio mbunge wetu Ubungo...Nampongeza kwa kutumia vizuri pesa zake alizopata kwa madili ya umeya. Hayo mayai ni ya kuzugia tu. Kwenye ubunge hawezi pata kwasababu hana sifa ya kuitwa mwanasiasa. Pia hana ushawishi. Huyo Boniface, Malisa GJ na Yericko waendelee tu kuwa wanaharakati ila siasa za majukwaani hawaziwezi.
Mbunge wa mioyoni mwenuMwakani ndio mbunge wetu Ubungo...
Wa wanaUbungo wote. Proud to be part of UbungoMbunge wa mioyoni mwenu
WoteSio ya kawaida hiyo ni watanzaia wangapi wenye uwezo wa kumiliki nyumba kama hiyo
Unaubishi wa kijinga huwaga haunaga maanaWote
Mtu anapambana miaka nenda rudi,anafanikiwa unasema ni madili ya u mayor,hii ni dalili ya wivu but hujui kama ni wivu, sometimes mtu akifanya mambo mazuri mpe pongezi bila vijisababu hutapungukiwa chochote.Jumba hili hapa ila kumbuka huyu bon yai alishapata kuwa mayor na diwani so as a. Moyar anakuwa na madili makubwa mno
Hvyo yai pekee halitoshi kukupa ghorofa Kama Hilo bill back up ya maana nyuma yake
View attachment 2930656
Wewe subiria Katiba Mpya ndio Ununue KiwanjaUkiendelea kuandika utafika mbali japo huko mbali utaishia kuwa mchawi