Hongera Jacob kwa kupambana kwa jasho na damu na kufanikiwa kujenga kasri lako; watu kama ninyi ni vigumu kununulika na watawala

Nampongeza kwa kutumia vizuri pesa zake alizopata kwa madili ya umeya. Hayo mayai ni ya kuzugia tu. Kwenye ubunge hawezi pata kwasababu hana sifa ya kuitwa mwanasiasa. Pia hana ushawishi. Huyo Boniface, Malisa GJ na Yericko waendelee tu kuwa wanaharakati ila siasa za majukwaani hawaziwezi.
Mwakani ndio mbunge wetu Ubungo...
 
Jumba hili hapa ila kumbuka huyu bon yai alishapata kuwa mayor na diwani so as a. Moyar anakuwa na madili makubwa mno

Hvyo yai pekee halitoshi kukupa ghorofa Kama Hilo bill back up ya maana nyuma yake

View attachment 2930656
Mtu anapambana miaka nenda rudi,anafanikiwa unasema ni madili ya u mayor,hii ni dalili ya wivu but hujui kama ni wivu, sometimes mtu akifanya mambo mazuri mpe pongezi bila vijisababu hutapungukiwa chochote.
 
Back
Top Bottom