Natoa pongezi kwako Mhe.Mwakyembe, endelea kusukuma huo mkakati ili makusanyo ya Bandari yawe halisi, maana hao TRA wenyewe wameshajipambanua wako sambasamba na wakwepa kodi. Ktk mkutano kati ya Waziri wa Fedha na Makamishina wa TRA na Forodha, Makampuni ya Wakala na Wafanya biashara wa Kariakoo, mmoja wapo wa wasemaji kwa niaba ya Wafanya Bishara wa Kariakoo alibainisha kuwa hawana tatizo na TRA, wanakwenda nao sawa. Hata Kitilya ameagiza wapewewe mizigo yao. Lakini mtinndo huo hsc si wao peke yao, wako wengi sana wanaoendesha huo ufisadi wa kukwepa kodi kwa kusaidiwa na TRA wenyewe.