Home Shopping Centre wazusha taharuki Kariakoo

Kahtan Ahmed!......
Pengine yule shemeji aliyempa miba dada yake akamfanya kitu mbaya...! Pengine wananchi wenye hasira wanaochukizwa na vitendo vyake vya kupiga watu shaba kwa ngao ya fedha zake, pengine wafanya biashara wenzie aliowanyang'anya wataja zao...pengine muhuni tu mmoja kaamua kufanya hivyo kwa sababu anazozijua yeye...!?
 
kwa kifup tu hawa jamaa mimi nimefanya nao kaz tangu mwaka 2007 wananisafirishia mizigo yangu toka china na dubai. ukwel kama alivyosema jamaa mmoja hapo juu ni kwamba kwa kias flan wanawasaidia Wtz masikin kupata hela na matajir pia ila njia anazotumia kuwapa utajir ni kwa kukwepa kodi kwa kusaidiana na baadhi ya watumish wa TRA wale wakubwa. wakat huo yeye kwa kuwaweka watu kati huko juu anapiga hela nyingi mno yaan unaibiwa mwenye mzigo na serikali hasa serikal. conteiner la nguo ni TshsMilion 17 kwa futi 20 lakn yeye anakuambia ni milion 19 au 20 lakn unatolewa on the sport ikifika. so kinachojitokeza serikalin wanabadilisha document wakishirikiana na watu wa TRA conteiner la nguo linabadilishwa linakuwa la cement so analipia milion 5 mpaka 7 za juu anawapa kidogo watumish nyingine zake. huu mchezo ameuanza cku akisaidiwa na Zakhia Megi kipindi akiwa wazir wa fedha. walichofanya wamemuuzia Riz 0ne hisa so wanaiba hela nyingi ni Mungu anajua. ingawaje ukwel mwingine mchungu ni kwamba kampun yake ndio inasuply karibu mizigo yote kkoo na posta so kumfungia ni kusababisha ombwe la mizigo sokon na pesa kupungua serikaln ushahd ni juz mwakiembe kakamata conteiner zake mia moja leo hii wamezuiliwa kutoa mizigo wk hiz mbili tu tayar imebid wazir wa fedha awaite wafanyabiashara aongee nao tatizo liko wapi. coz hazina haisomeki. na kwa kuwatonya nasikia hata mtoto wa mshua wakat anakamatwa china kama ni kweli hawa jamaa ofic yao ya china ndio iliratibu mazungumzo ya kuachiwa kwao.

Ndio haoo wanasepa sasa sijui nyinyi wakwepa kodi wa bongo nani atawasaidieni tena.
 
Habari nilizopata toka kwa wafabiashara wa kariakoo ambao ndio waathirika wa makontena yalioko bandarini ni kuwa...
1.hsc ni bingwa wa kukwepa kodi Tanzania.
2.wafanyabiashara wakiagiza vitenge,tv,jenereta au hardware yeye kwenye kulipa bandarini anaandika tishu au net za msaada hivyo kulipa kidogo au kutolipa kabisa.
3.hsc ni Kampuni toka ikulu na vigogo wastaafu.
4.hsc haijakamatwa kwa bahati mbaya, na Mwakyembe kubadili utawala bandarini sio bahati mbaya Bali ni mpango maalumu.
Na kilichofanya hiyo Kampuni kuanikwa hadhani ni kitendo cha kuingilia tenda za vigogo wenzie akiwemo Zakaria na ishu ya betri za taiga.
Zaidi ni kitendo cha kutukanwa Mwakyembe na mkurugenzi wa hsc kwa kuambiwa Siwezi kuongea na wewe (Mwakyembe) naongea na mkubwa wako (jk)
Hivyo Mwakyembe nae akaamua liwalo na liwe kama uwaziri nifukuzwe tu Makotena hayatoki mpaka yalipe kodi halali.

Lakini mpaka sasa baada ya sakata la takribani miezi miwili juzi makotena yameanza kutolewa.!

Kkoo wajiandae kulipa kodi sasa jamaa zao ndo haoo eti wanafunga kampuni!
 
kosa lipo kwa viongozi wetu ambao wanafanya ubia nao...kukwepa kulipa kodi ni kuhujumu uchumi wa nchi...afilisiwe kbs.
 
Wadau,kuna habari za uhakika chini kutoka kwa wadau wangu wa karibu kuwa hali ya mfanyabiashara said wa home shopping center si nzuri kibiashara...
kama thread moja iliyowahi kuandika habari zake humu ndani,inasemekana zaidi ya makontena 860 yamezuiwa bandarini kwa kile kinachoelezwa kufanya uchunguzi zaidi,mengi ya makontena haya yamewekwa bidhaa nyingine huku documents zikionyesha bidhaa nyingine.

hv karibuni amekuwa na ugomvi na mfanyabiashara mwingine Said salim bakhresa,na pia ameshagombana na Manji na yule muhindi mwingine tajiri zakaria,pia amekorofishana na subhashi Patel pale alipoanza kuingilia biashara ya mabati yanayofanana na ya kiwanda cha subash.

kuna wachina kama mia mbili hv nao mizigo yao iko kwenye hiyo ya huyu bwana so sad,kumbe na wao wanakwepa kodi

ukwepaji kodi huu wa Said,unajulikana wazi na kila mtu,hata serikalini,sijafahamu hasa kwann this time wameamua kumgeuka mwenzao! labda ndio yale maneno ya magufuli kuwa anaeweza kumtoa ni rais tu,maana huyu jamaa keshahamisha maafisa wa tra kama mia na hv!

my take:crime doesn't pay

Crime doesnt pay
 
Nimependa hapa, " labda
ndio yale maneno ya magufuli kuwa anaeweza
kumtoa ni rais tu"
 
Wafanyabiashara wakubwa ndio waliokua wanawaumiza wafanyabiashara wadogo na nafikiri kama kweli anatumbua majipu yote ya upitishaji mzigo kihalali wafanyabiashara wadogo wataneemeka
 
Wadau,kuna habari za uhakika chini kutoka kwa wadau wangu wa karibu kuwa hali ya mfanyabiashara said wa home shopping center si nzuri kibiashara...
kama thread moja iliyowahi kuandika habari zake humu ndani,inasemekana zaidi ya makontena 860 yamezuiwa bandarini kwa kile kinachoelezwa kufanya uchunguzi zaidi,mengi ya makontena haya yamewekwa bidhaa nyingine huku documents zikionyesha bidhaa nyingine.

hv karibuni amekuwa na ugomvi na mfanyabiashara mwingine Said salim bakhresa,na pia ameshagombana na Manji na yule muhindi mwingine tajiri zakaria,pia amekorofishana na subhashi Patel pale alipoanza kuingilia biashara ya mabati yanayofanana na ya kiwanda cha subash.

kuna wachina kama mia mbili hv nao mizigo yao iko kwenye hiyo ya huyu bwana so sad,kumbe na wao wanakwepa kodi

ukwepaji kodi huu wa Said,unajulikana wazi na kila mtu,hata serikalini,sijafahamu hasa kwann this time wameamua kumgeuka mwenzao! labda ndio yale maneno ya magufuli kuwa anaeweza kumtoa ni rais tu,maana huyu jamaa keshahamisha maafisa wa tra kama mia na hv!

my take:crime doesn't pay
kweli sisi waafrika ndio maana tunaambiwa bado nyani hivi mihindi miarabu michina inanyang'anyana Mali zetu mpaka inagombana sisi tumetumbua mimacho yetu tu kha!?
 
Back
Top Bottom