Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,230
- 113,588
Ushamba bana daaaah.................
I that it did not crashland:confused2:
Sipati picha mijitu litoka ofisini mwao na kuanza kushangaaaaa haha hahhaha:becky::becky::becky::becky::becky:
Duh!! Kulaleki walahi....wengine kila siku tunaona haya mahedikopta yakitua kwenye mapaa ya mahospitali na majengo mengine kama mahabusu, vituo vya polisi, n.k......hakika sikutegemea hili la hedikopta kutua kwenye paa la Holiday Inn kuwa newsworthy lakini kama haijawahi kutokea kabisa nchini basi sasa nimeelewa kwa nini limekuwa newsworthy...
Duh!! Kulaleki walahi....wengine kila siku tunaona haya mahedikopta yakitua kwenye mapaa ya mahospitali na majengo mengine kama mahabusu, vituo vya polisi, n.k......hakika sikutegemea hili la hedikopta kutua kwenye paa la Holiday Inn kuwa newsworthy lakini kama haijawahi kutokea kabisa nchini basi sasa nimeelewa kwa nini limekuwa newsworthy...
Ndo ilivyokuwa:becky::becky::becky:
Kama ni ufisadi basi dawa yao ni hii hapa