Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 950
- 2,872
Kwa hakika hoja za Uarabu, Uislamu na Ukristo zilizotolewa katika suala la mkataba danganyifu wa bandari ni hoja binafsi ambazo hazina mashiko katika suala la uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam. Pia Uzanzibari, Utanganyika ni hoja binafsi, tunachotaka bandari yetu isiuzwe,full stop kama itathibitika mahakamani wapo watu walidhamiria kuiuza bandari yetu basi washtakiwe kwa mujibu wa sheria.