Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
sikuwa nimewahi kabla kumuona au kumsikia huyu mbunge..kwa kweli leo amenidhihirishia kuwa cdm ina hazina kubwa sanaa ya viongozi makini ! ujengaji wake wa hoja,pace yake,umakini wake na kujiamini kwake ni outstanding. Kama kuna mtu anamjua kiundani zaidi atumwagie cv yake zaidi. Viva CDM