Hassan J. Mosoka
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 682
- 323
Kwa hiyo Mkuu unataka kutuambia kwamba Marehemu Sumari alirithi ubunge toka kwa baba yake??Meru ni tofauti na Masaini, kule Meru kuna utawala wa kifalme, kwao mbunge ni mfalme na akifa mwanae ndio anatawazwa mfalme.
Baada ya CC ya CCM kumpitisha Sioi leo, basi uchaguzi Arumeru utakuwa ndio umemalizika rasmi!. Kitakachoendelea ni kutimizwa tuu kwa matakwa ya kikatiba na kusubiri kumtangaza rasmi!.