Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Wana JF
Hofu kubwa imetanda miongoni mwa makundi ndani ya chama tawala kuwa huenda kesho kamati kuu ikamkata mgombea aliyeshinda Arumeru Sioi Sumary na kumpitisha William Sarakikya. Hii ni kutokana na ukweli kwamba Sumary hakubaliki na wajumbe wengi wa CC kutokana na kuwa kambi ya EL.
Pia Sumary anaweza kung'olewa kwa madai ya kundi lake kuhusishwa na rushwa katika ushindi alioupata kwani watu waliokamatwa na Takukuru Arusha na kuhojiwa ni kutoka katika kundi lake.
Hata hivyo uamuzi wa CC-CCM unaweza kuwa mgumu zaidi kwa kuleta madhara makubwa katika kampeni za chama hicho kwani wameru wamekuja na kaulimbiu kuwa YATIMA HADHULUMIWI wakimaanisha kuwa hawako tayari kuona Sumary anakatwa!
.
Hofu kubwa imetanda miongoni mwa makundi ndani ya chama tawala kuwa huenda kesho kamati kuu ikamkata mgombea aliyeshinda Arumeru Sioi Sumary na kumpitisha William Sarakikya. Hii ni kutokana na ukweli kwamba Sumary hakubaliki na wajumbe wengi wa CC kutokana na kuwa kambi ya EL.
Pia Sumary anaweza kung'olewa kwa madai ya kundi lake kuhusishwa na rushwa katika ushindi alioupata kwani watu waliokamatwa na Takukuru Arusha na kuhojiwa ni kutoka katika kundi lake.
Hata hivyo uamuzi wa CC-CCM unaweza kuwa mgumu zaidi kwa kuleta madhara makubwa katika kampeni za chama hicho kwani wameru wamekuja na kaulimbiu kuwa YATIMA HADHULUMIWI wakimaanisha kuwa hawako tayari kuona Sumary anakatwa!
.