Hofu kuu imetanda CHADEMA, Majimbo yanayoenda kufanya uchaguzi kubaki CCM

blogger

JF-Expert Member
Mar 13, 2012
10,486
12,655
Hata sijui hili tusema ni kosa la kiasili au ni mpango wa Mungu. Watanzania wamerejesha Imani kuu kwa CCM kupitia kwa Raisi John Magufuli ndani ya wiki moja.

Ninaona ushindi wa kishindo kwa CCM ktk majimbo yote yaliyoahirisha uchaguzi. Ikumbukwa kuwa tar. 25 oct. Wananchi wengi walioichagua UKAWA walipiga kura za hasira tu, kuiadhibu CCM kutokana na kuchemka vibaya kwa awamu ya nne nami nasema walikuwa sahihi sana.

Ila ndani ya Wiki moja MAGUFULI ameweza futa hasira zile za Watanzania na maelfu kwa maelfu sasa wanatamani hata Uchaguzi ungerudiwa tena ili wampe JPM hata ushindi wa 90%.

Kama hvyo ndivyo basi wananchi wameamua na hili ni uhakika majimbo yote yanayoenda fanya uchaguzi kubaki CCM. Hongera sana RAISI WETU MAGUFULI. #HAPAKAZITU.
 
Hayo ni maoni yako na unahaki na uhuru wa kujieleza. Tatizi ninaloliona ni hapo unapojaribu kujichukulia ama kupokonya nafasi na utashi wa wapiga kura.
 
Kwa lipi ambalo amekwishatengeneza kwa muda wa wiki? JPM bado kabisa hajatimiza ahadi zake. Tunategemea ahitishe mafaili ya ESCROW, EPA, RICHMOND, MEREMETA, KAGODA NK. Subiri uone mtakavyocharazwa na wana ukawa.
 
Toka maraisi wote kuanzia awamu ya kwanza mpaka ya tano, kila raisi amalizapo kipindi chake kisha akachaguliwa raisi mpya watanzania tunasema afadhali yule aliye maliza utawala. Wakati wa mwinyi mapungufu yaliyo jitokeza tukasema afadhali ya Nyerere, akaja Mkapa tukasema afdhali ya Mwinyi. wakati wa Kikwete tukasema afadhali ya Nyerere, Mwinyi na Mkapa. Na sasa ni Magufuli, nina uhakika baadaya mwaka mmoja au miwili tutakuja hapa na kusema afadhali Kikwete.
Muda ni jaji mzuri.
 
Kwa maoni yangu naona ni mapema mno kupima utendaji wake serikalini,,hajaanza kutekeleza ,ahadi kadri ya ilani ya Ccm,
 
Magufuli amefanya nini cha maana? Ziara za kisanii za kushtukiza hata kikwete alizifanya sana? Viwanda alivyoahidi viko wapi? Hana tofauti na alieondoka usanii mtupu
 
Hata sijui hili tusema ni kosa la kiasili au ni mpango wa Mungu. Watanzania wamerejesha Imani kuu kwa CCM kupitia kwa Raisi John Magufuli ndani ya wiki moja.

Ninaona ushindi wa kishindo kwa CCM ktk majimbo yote yaliyoahirisha uchaguzi. Ikumbukwa kuwa tar. 25 oct. Wananchi wengi walioichagua UKAWA walipiga kura za hasira tu, kuiadhibu CCM kutokana na kuchemka vibaya kwa awamu ya nne nami nasema walikuwa sahihi sana.

Ila ndani ya Wiki moja MAGUFULI ameweza futa hasira zile za Watanzania na maelfu kwa maelfu sasa wanatamani hata Uchaguzi ungerudiwa tena ili wampe JPM hata ushindi wa 90%.

Kama hvyo ndivyo basi wananchi wameamua na hili ni uhakika majimbo yote yanayoenda fanya uchaguzi kubaki CCM. Hongera sana RAISI WETU MAGUFULI. #HAPAKAZITU.

taja hayo majimbo unayofikiri yatabaki ccm kama sii upunguani huwezi rudisha arusha ccm
 
Hakuna imani yoyote iliyorudishwa kwa ccm. Hakuna kipimo chochote cha kupima utendaji wa Rais ndani ya wiki.

Arusha mbunge wetu ni Lema iwe jua iwe mvua.
 
Ktkt bandiko lako naona ukweli ktkt eneo flani nalo ni hili kwa marudio haya ukawa wakipata sana labda kiti kimoja au viwili na si zaidi,
Sababu sio kwamba ni utendaji kazi wa raisi mpya
Raisi anafanya vizuri anastahili pongezi.
Kitakachowaangusha ukawa ni kukata tamaa kwa wananchi wengi wamepoteza imani na ukawa kwani waliwaambia mwaka huu watalinda kura zao za uraisi hazitaibiwa,
Wananchi wasiwe na wasiwasi mwisho wa siku wamelalamika kuibiwa kura.

Watawahakikishia vipi kwamba kwamba watazilinda kura zao ikiwa zingine wameshindwa kuzilinda.
Na hali hii ya kukata tamaa sio uchaguzi huu tu hata 2020 lazima ukawa iwagharimu.
 
Ktkt bandiko lako naona ukweli ktkt eneo flani nalo ni hili kwa marudio haya ukawa wakipata sana labda kiti kimoja au viwili na si zaidi,
Sababu sio kwamba ni utendaji kazi wa raisi mpya
Raisi anafanya vizuri anastahili pongezi.
Kitakachowaangusha ukawa ni kukata tamaa kwa wananchi wengi wamepoteza imani na ukawa kwani waliwaambia mwaka huu watalinda kura zao za uraisi hazitaibiwa,
Wananchi wasiwe na wasiwasi mwisho wa siku wamelalamika kuibiwa kura.

Watawahakikishia vipi kwamba kwamba watazilinda kura zao ikiwa zingine wameshindwa kuzilinda.
Na hali hii ya kukata tamaa sio uchaguzi huu tu hata 2020 lazima ukawa iwagharimu.

Anaechaguliwa ni rais au mbunge?
 
Hata sijui hili tusema ni kosa la kiasili au ni mpango wa Mungu. Watanzania wamerejesha Imani kuu kwa CCM kupitia kwa Raisi John Magufuli ndani ya wiki moja.

Ninaona ushindi wa kishindo kwa CCM ktk majimbo yote yaliyoahirisha uchaguzi. Ikumbukwa kuwa tar. 25 oct. Wananchi wengi walioichagua UKAWA walipiga kura za hasira tu, kuiadhibu CCM kutokana na kuchemka vibaya kwa awamu ya nne nami nasema walikuwa sahihi sana.

Ila ndani ya Wiki moja MAGUFULI ameweza futa hasira zile za Watanzania na maelfu kwa maelfu sasa wanatamani hata Uchaguzi ungerudiwa tena ili wampe JPM hata ushindi wa 90%.

Kama hvyo ndivyo basi wananchi wameamua na hili ni uhakika majimbo yote yanayoenda fanya uchaguzi kubaki CCM. Hongera sana RAISI WETU MAGUFULI. #HAPAKAZITU.

Kipindi chote mmemekuwa mnamsifu jk, Leo mnamponda!!! Kujipendekeza hakufai. Be objective.
 
kwa ARUSHA, naishauri CCM wakaulize jimbo la moshi mjini MOSHA ilikuwaje? ni ndoto ccm kuchukua jimbo la ARUSHA NA MTWARA
 
Utabili wangu tuu,
ccm itashinda majimbo ya lushoto, ulanga morogoro, ludewa, handeni kwa asilimia 90 hii ni kutokana na nature na mazingira ya kisiasa ila
arusha na masasi ushindani ni mkubwa sanakutokana na nature na mazingira ya kisiasa,
 
Arusha wamejipanga, Lema ataisoma namba. Maajabu yanakuja, mjasiria mali Monaban anachukua kiti cha ubunge Arusha mjini. Subiri mwone. Hapakazitu.
 
Hata sijui hili tusema ni kosa la kiasili au ni mpango wa Mungu. Watanzania wamerejesha Imani kuu kwa CCM kupitia kwa Raisi John Magufuli ndani ya wiki moja.

Ninaona ushindi wa kishindo kwa CCM ktk majimbo yote yaliyoahirisha uchaguzi. Ikumbukwa kuwa tar. 25 oct. Wananchi wengi walioichagua UKAWA walipiga kura za hasira tu, kuiadhibu CCM kutokana na kuchemka vibaya kwa awamu ya nne nami nasema walikuwa sahihi sana.

Ila ndani ya Wiki moja MAGUFULI ameweza futa hasira zile za Watanzania na maelfu kwa maelfu sasa wanatamani hata Uchaguzi ungerudiwa tena ili wampe JPM hata ushindi wa 90%.

Kama hvyo ndivyo basi wananchi wameamua na hili ni uhakika majimbo yote yanayoenda fanya uchaguzi kubaki CCM. Hongera sana RAISI WETU MAGUFULI. #HAPAKAZITU.
naitunza hii kwa matumizi ya baadae
 
Back
Top Bottom