Causin Member Apr 28, 2010 41 0 Apr 29, 2010 #1 :confused3: hello wana jf,nimekuja naombeni maelekezo wangwana,inakuwaje??
Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,445 Apr 29, 2010 #2 Jacqueline Mick said: :confused3: hello wana jf,nimekuja naombeni maelekezo wangwana,inakuwaje?? Click to expand... Karibu sana jisikie upo nyumbani. Cha kufanya pitia pitia sheria za JF kwanza.
Jacqueline Mick said: :confused3: hello wana jf,nimekuja naombeni maelekezo wangwana,inakuwaje?? Click to expand... Karibu sana jisikie upo nyumbani. Cha kufanya pitia pitia sheria za JF kwanza.
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,725 Apr 29, 2010 #3 karibu besti...Umefanya uamuzi sahihi kuja hapa na wala hutajuta!Hakikisha tu hugombani na mwajiri wako.
karibu besti...Umefanya uamuzi sahihi kuja hapa na wala hutajuta!Hakikisha tu hugombani na mwajiri wako.
Causin Member Apr 28, 2010 41 0 Apr 29, 2010 Thread starter #4 Thanx fidei nimekupata,upande huo hakuna prob,labda kama kuna la zaidi.
Causin Member Apr 28, 2010 41 0 Apr 29, 2010 Thread starter #5 asante wangu,nashukuru kwa ushauri wake,ila naamini mimi sio mgonvi hata kidogo
K Katabazi JF-Expert Member Feb 18, 2007 353 19 Apr 29, 2010 #6 Fidel80 said: Karibu sana jisikie upo nyumbani. Cha kufanya pitia pitia sheria za JF kwanza. Click to expand... Duuu! E bwana eee, sisi tuliongia bila kubisha hodi, tuna kazi! Sheria gani kali kuliko zote nianze kujitayarisha kama nitoke au niingie mzima mzima!
Fidel80 said: Karibu sana jisikie upo nyumbani. Cha kufanya pitia pitia sheria za JF kwanza. Click to expand... Duuu! E bwana eee, sisi tuliongia bila kubisha hodi, tuna kazi! Sheria gani kali kuliko zote nianze kujitayarisha kama nitoke au niingie mzima mzima!