F funguo Member Nov 22, 2011 24 36 Nov 22, 2011 #1 Hello Jf hodi ukumbini..natumai mu wazima naomba kukaribishwa rasmi jukwaani na baada ya muda nitatoa matatizo yangu magreat thinker munisaidie
Hello Jf hodi ukumbini..natumai mu wazima naomba kukaribishwa rasmi jukwaani na baada ya muda nitatoa matatizo yangu magreat thinker munisaidie
ERIC JOSEPH JF-Expert Member Aug 10, 2011 567 55 Nov 22, 2011 #3 karibu janvini tusaidiane katika shida na raha.