<br />Eiyer ni ule usio na vidole na usiokanyaga chini
<br /><span style="font-family: comic sans ms">Karibu Polisi officers Mess mishale ya saa saba hivi tule mbusi na Serengeti.....Nipo kwa mda moshi kesho narudi dar.... <b><font color="#ff0000">Karibu molyi!</font></b></span>
mmmh...m watching...Nipo Moshi mjini dada! Unaweza kuni PM nitakupa no yangu nikupokee mpendwa! Do it if you are serious!
<br />Karibu sana. Ni PM NIJE NIKUHOST BHANA
<br />asanteni sannnnnnna kwa ukarim na ukaribisho. hahahaaaaaaa kwa kipanga 1