ABEDNEGO
Senior Member
- Aug 20, 2009
- 109
- 30
Jameni hodi mie nimekuja kutoka kijijini,Nikasoma huyu kazeti wenu nikafurahi,Sasa nikamuuliza huyu dada kasema nijirejisite ili nipewe ukaribiso,Nimefurahi kweli kweli kama mtanikaribisha.Niko na pahala ya kula na kulala.Lakini kusoma na kuandika kwa mashine ni hapa ndani.Asanteni