T thatha JF-Expert Member Apr 29, 2011 15,340 1,566 Jul 23, 2011 #1 naomba mnikaribishe ndani ya JF. I)Ni mpya, niongozwe na nikikosea nisamehewe. 2)ni mdogo, sio mchanga. lkn naweza kusaidia mijadala mbali mbali
naomba mnikaribishe ndani ya JF. I)Ni mpya, niongozwe na nikikosea nisamehewe. 2)ni mdogo, sio mchanga. lkn naweza kusaidia mijadala mbali mbali
M mwabaluhi JF-Expert Member Oct 16, 2010 561 92 Jul 23, 2011 #2 Udogo si tatizo bali ukubwa wa mawazo yako ndio tunauhitaji. Kuhusu kukosea hakuna aliye mkamilifu hivyo usiogope. Karibu JF
Udogo si tatizo bali ukubwa wa mawazo yako ndio tunauhitaji. Kuhusu kukosea hakuna aliye mkamilifu hivyo usiogope. Karibu JF
U ugawafisi Senior Member Jul 22, 2011 127 12 Jul 23, 2011 #3 karibu jamvini, tukiamini utakua a really great thinker.
peri JF-Expert Member Mar 22, 2011 2,579 1,164 Jul 23, 2011 #4 Karibu bandugu, ila ukikosa utakosolewa ili ujirekebishe, ukisamehewa utarudia kosa.
Mwita25 JF-Expert Member Apr 15, 2011 3,831 1,164 Jul 23, 2011 #6 Peleka jukwaa la wageni. Kuwa mgeni haimaanishi uingie na ndani viatu
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Jul 23, 2011 #7 karibu ila chunga siasa aka bla blaa
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,143 16,215 Jul 23, 2011 #8 karibu sana ila kama una jazba iache huko huko nje