Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Wa FJ nilikuwa sipo hapa nchini sasa nimerudi na nategemea kuwa nitakutana na wana JF hapa Moro nitakapokuwa nikiishi sasa naomba nikaribishwe. Ni kweli kuna siku nilisema ipo siku angalau nitamfahamu mtu hata wa ndani ya nyumba hii lakini hadi leo hakuna hata mmoja ninayemfahamu hata kwa kumuona hivyo wale wa Dar na Moro napenda kushirikiana nanyi kama mwana jamii mwenzenu. Hapa nipo Kilakala kwa sasa.