Waungwana hamjambo?? Napiga hodi kwenu tafadhalini nipokeeni ni mgeni wenu kwenye Blog hii ya Jamii, ndiyo naja kwenu leo.
Jamani nimekuwa mwanachama, nakubali hiki ni kisiwa cha fikra. Asanteni sana nikaribisheni kwa moyo.
Tuijenge nchi yetu kwa pamoja.
Karibu babaa, unatokea Matejoo au Ngarenaro?
Daah! Sitii neno mkuu.Hee....!
Huyu atakuwa mtu wa eneo linaitwa IKIDING`A, ..kama sio huko, basi ni OLDADAI...lol